Nimekutana na Mbwa Mikumi

hivi wee jamaa mikumi huwa unafata nini au na wewe daktari wa meno?
 
mkuu kabombe nimemuona dog mwenyewe sio mbwa mwitu
Uliangalia kwa woga tu,ungeniambia ulisimama sawa lakini kwa pale,pengine ulivyopita tumbo lilikua linakucheza kuogopa kutokewa na mnyama dirishani
 
mkuu mkazuzu mi nadumisha utalii wa ndani.
 
Mmmmh! labda naye ni mtalii pia
 
Bila shaka K 4 LIFE ni askari wa wanyama pori maana kila siku stori za mikumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…