Nimekutana na Member jini humu JF

Wakuuu poleni kwa miangaiko ya hapa na pale humu jf sio pazuri kuna member mmoja humu ana mambo ya kishirikina sana tuweni kujibu jibu watu yamenikuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mlianziwa wapi
kakuzidi maarifa umekuja kumtangaza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulikataa kata kata azizi ki hawez kwenda yanga. Kweli ushirikina upo[emoji1787][emoji1787]
 
Jifunze kutofautisha Kati ya ushirikina na jini.

Ulikutana na jini au mshirikina?
 
Wakuuu poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale humu JF sio pazuri kuna member mmoja humu ana mambo ya kishirikina sana tuweni kujibu jibu watu yamenikuta
Sasa kwa Kumnanga hivi si ndiyo atakuroga na kukufanyizia zaidi Ndugu au?
 
Z- Anto huyooo.😂😂
#Mdomo usizidi mabavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…