Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Piga mzigo mzee baba acha woga.
 
Pole sana kaka.. Ujue hata hapa unapopost anaona yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am not schizophrenic , i have gone to school and i know what am talking about..hiyo definition yako ya google mm nilienda kabisa hospt! Pole sana!
 
Nilikuwa interested kuijua storie yako ila hapa nimeona umekuwa chai saasa badaa ya kugundua mambo flani ayaendani na utaratibu wa jini !!anyway ongera kwa chai tamu yako!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah bro watch out, gari yangu iliniwakia moto, kazi nikafukuzwa, nilikua nalipwa 2M nikaishia kwenye umasikini uliotukuka, hiyo perfume kalii harufu yake naijua..washenzi sana hawa viumbe..michezo ya kukatiwa umeme, gate kufungiwa (imenitokea) kila nikitaka kuingia home halifunguki inabidi nimtafute nikalale kwake..so sad! Mbaya zaidi anapoanza kuku.control..
 
Yn sielew nipo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…