Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Pole sana ndugu yangu,jaribu kutafuta ufumbuzi wa tatizo lako kwa njia bora pasipo kutikisa imani yako kwa Mungu..
 
Itakuwa uyo jini kaamua kumchukua mazima akalr raha huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jini lenyewe limeshakuambia linashindwa nanini mbona? Limekuambia ulipokuwa na huyo mchumba wako wa awali lilishindwa kwasababu yeye ni muombaji sana.

Very simple mfuate mchumba wako kesi itaisha. Atakuombea na kukupeleka kwa mchungaji.
Mpaka sasa jini ameshampata jamaa,kakubali kuzivaa nguo zake na kuzitoa tena na kumkabidhi jini. Maana yake sasa nguvu za jamaa zote zinategemeana na jini anachotaka mpaka kwenye maamuzi. Mfano jamaa akifikiria kumfuata huyo demu,jini anajua nini anafikiria,kwa hiyo anaweza kupiga hata hatua 5,baada ya hapo anasahau wapi alikuwa anaenda,hapo mpaka sasa hawezi kufanya tena kitu cha kumuumiza jini,ndio maana ameacha hata kutoa humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hakuna kitu kama hicho.
 
sasa sisi tunaomshauri humu jf huuo jini wake hana uwezo wa kudeal na sisi
 
Nenda kwa Prophet T B Joshua, nenda pale kwa Martha akuandikishe uende
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mpenzi jini nae anapitia Jf.....tukikushauri an block njia mapema
 
Hapo kwenye kofi niache kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Kaka yangu, nimesoma uzi wako mwanzo mpaka mwisho najikuta nataka kudondokwa na machozi, pole sana kwa kipindi hiki kigumu, ila amini kwa mungu yote yanawezekana. Ushauri wangu Kaka, mruhusu mama awashilikishe watu wengine kama ulivyo tushilikisha na sisi, lakini pia nenda kanisani unakosali au popote awashilikishe watumishi wa mungu, hana uwezo wa kushindana na nguvu ya mwenyezi mungu. FANYA hivo usijekushauriwa kwenda kwengine tofauti na kanisani, ikiwezekana kabisa hata huyo EX Wako aliyekuwa kizuizi mwanzo umshilikishe japo haitakuwa rahisi kukuelewa. MUNGU AWE NA WEWE KAKA YANGU
 
TATHMINI :-

1) Ni ngumu sana kwa msichana uliyempenda haswaa kama ulivyosema mwanzoni kwenye sehemu ya kwanza akuulize jina then umdanganye kwa kumtajia jina la uongo....!

2) Kama kweli wewe ni Mkristo na hukuwahi kufanya ushirikina basi baada ya kutokewa na hayo mambo siku ya kwanza tu...LAZIMA ungemtafuta kiongozi wa kiroho / dini akuombee.

3) Kwa hali hiyo kama ni kweli usingethubutu kumpelekea nguo kigamboni ukiwa peke yako, lazima ungeenda na mtu kwa kuogopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…