Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
ipo tayariKuna ttzo hapa wakuu ronaldo akija bongo na tukamuonesha huu uzi wako kaitaji kulala na ww upo tyr???
Wakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that why naichukia Barcelona kwasababu ya Ronaldo na pia naichukia Manchester United kwa kumtreat vibaya yeye
o hivyoSa itakuwaje 🤔
Tatizo hili hapa. Niite bazinkuluWakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that why naichukia Barcelona kwasababu ya Ronaldo na pia naichukia Manchester United kwa kumtreat vibaya yeye
'Bazinkulu' ni majina ya watu wa wapi?Wakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that why naichukia Barcelona kwasababu ya Ronaldo na pia naichukia Manchester United kwa kumtreat vibaya yeye
OkeeHivy
o hivyo
Ni utoto tuWakuu kiukweli nipo addicted na Cristiano Ronaldo yaani wakuu chochote ambacho Ronaldo anakitangaza nipo tayari kukinunua kwa gharama yoyote ata akitangaza chupi au kondomu nipi tayari kununua aisee nakumbuka nilinunuaga kondomu kwa sababu niliona anaitangaza sijui ndiyo ugonjwa wa akili that why naichukia Barcelona kwasababu ya Ronaldo na pia naichukia Manchester United kwa kumtreat vibaya yeye
Kuna mwenzak alikua hv hvo ila kilichompata mpaka sasa kakimbia account zake zote kule twitaHuyu atatatuka tu
''One Man down,I repeat one Man down,we need rescue team ASAP,do you copy?"Alpha team,alpha team."one man down,man down.do you copy?one man down I repeat man down.this is captain toobiter.rodger alpha team.