mie kwa kweli nahisi sina wito....
mie kwa kweli nahisi sina wito....
wito ni kazi ngumu ya kujitolea
sasa ndoa inakuwaje ni wito?
umelazimishwa?
kama huwezi fall in love kwa nini ujibebeshe mzigo wa wito?
wito ni kazi ngumu ya kujitolea
sasa ndoa inakuwaje ni wito?
umelazimishwa?
kama huwezi fall in love kwa nini ujibebeshe mzigo wa wito?
kwa nini? Hawakuchumbii?
wito as sacrifice,ndoa nayo ni sacrifice,kulipokea limume lako likitoka job,kulipikia kulibrashia viatu sio wito huo lol
no sijisikii kuwa commited kwa mtu mmoja for the rest of my life,najipenda mwenyewe and i love my space lol
kama humpendi na hupendi hayo yote
umelazimishwa na nani?
wito wa nini?kwa faida ya nani?
unapendelea variety sio????lol