Nimekuwa mlevi, nisaidieni jamani


Mimi nikidhani ni ule ulevi original (I mean wa pombe) ili nami nikopi tiba utakayopewa! I hate drinking am struggling to stop hadi mke wangu Kongosho anakaribia kunipiga kibuti!
 
Ulevi wako ni mzuri kwako, ila ni mbaya kwa pato la taifa.
Mimi nilidhani ulevi wako ni ule wa kupata bidhaa za TBL na SBL.
Kuza pato la nchi, badilisha aina ya ulevi wako.

Mkuu mbona maelezo yako yanakinzana?? Kama ulevi wangu ni mzuri nitaubadilishaje??
 

Asante kwa ushauri mkuu... Nitajitahidi kutafuta asali mbichi!
 
Mkuu charminglady,

Natumaini unamaanisha maji vugu vugu, Pia tunashauri watu watumie maji mengi(yakiwa ya moto au baridi), lakini tunapemdelea zaidi maji ya moto(yaliyochemshwa kisha kupoa) yaani yasiyo na ubaridi wa Friji/'Friza au Barafu, ingawa katika baadhi ya sehemu mfano, baada ya kumalizq mchezo maji yenye ubaridi 'husuuza' koo.

Hivyo kwako wewe sioni shida yeyote kwa kutumia kiasi kingi/kikubwa cha maji, lakini si sahihi kusema maji ya moto "yanakausha" mwili mkuu.
 
Last edited by a moderator:

Mhudumuuu, LETE YA MOTO NA LIMAU NIPATE AFYA DAKTARI WETU KAAGIZA ZITOE ZOTE KWENYE FRIJI
 

Nashukuru kwa kunitoa wasiwasi, make nilikwua na wasi wasi sana! Barikiwa
 
Nimechelewa uzi..hayana madhara kabisa kwa sababu siyo yale ya moto kabisa kama ulivyosema..yatakuwa absorbed kama maji mengine tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…