Nimekuwa nikijitahidi kuzikemea ndoto zangu lakini wapi! 2025 CCM watanyukana ngumi!

Nimekuwa nikijitahidi kuzikemea ndoto zangu lakini wapi! 2025 CCM watanyukana ngumi!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Shalomu Tanzania!

Nimekuwa nikiota ndoto za ajabu na kwa upande mwingine ndoto hizo, huwa zinanifurahisha na naamini pia iwapo itakuwa ni kweli' wote waliowahi kusababishiwa umasikini na ama kuteswa na wanaojiita CCM, basi tutakuwa na kila sababu ya kufanya sherehe anguko hili tukufu la wana CCM mafisadi ya nchi na kimataifa

Nimekuwa nikiota, 2025 kutawaka moto mkali sana hapo NEC ya CCM

Sijui chanzo cha hayo ila moto wake huo utakuwa mkali sana kiasi cha wengine kupotea! Zitapigwa ngumi na wengine kuonyesheana siraha za moto!

Na mapigano hayo, ndoto zangu anasema, itakuwa tamati ya nguvu za jinamizi la nchi CCM

Wale wanaoipenda sana ccm licha kwamba imeendelea kuzalisha masikini wengi sana sasa! Muiombee tuu

Tuliochukizwa nayo! Sisi kwetu anguko lenu, kwetu ni sherehe!
 
kula wastani kabla ya kulala si kushindilia chakula kama unaenda kuchana mbao
 
Kwamba kutakuwa na minyukano mikali zaidi ya ile ya July 2015 na March 2021 ?
 
Shalomu Tanzania!

Nimekuwa nikiota ndoto za ajabu na kwa upande mwingine ndoto hizo, huwa zinanifurahisha na naamini pia iwapo itakuwa ni kweli' wote waliowahi kusababishiwa umasikini na ama kuteswa na wanaojiita CCM, basi tutakuwa na kila sababu ya kufanya sherehe anguko hili tukufu la wana CCM mafisadi ya nchi na kimataifa

Nimekuwa nikiota, 2025 kutawaka moto mkali sana hapo NEC ya CCM

Sijui chanzo cha hayo ila moto wake huo utakuwa mkali sana kiasi cha wengine kupotea! Zitapigwa ngumi na wengine kuonyesheana siraha za moto!

Na mapigano hayo, ndoto zangu anasema, itakuwa tamati ya nguvu za jinamizi la nchi CCM

Wale wanaoipenda sana ccm licha kwamba imeendelea kuzalisha masikini wengi sana sasa! Muiombee tuu

Tuliochukizwa nayo! Sisi kwetu anguko lenu, kwetu ni sherehe!
Ndoto Yako ni Kweli.

Nawashauri CCMM kuruhusu mtoto AZALIWE Ili ugomvi huo usiwepo,

Maana maumivu ya mtoto kufia tumboni ni makali sana, na mbaya zaidi hata kumtoa nje Eti hairuhusiwi.

Dalili zitaanza kuonekana 2024, ikiwa utakuwepo au kusogezwa mbele Ule wa MITAA.
 
Ndoto Yako ni Kweli.

Nawashauri CCMM kuruhusu mtoto AZALIWE Ili ugomvi huo usiwepo,

Maana maumivu ya mtoto kufia tumboni ni makali sana, na mbaya zaidi hata kumtoa nje Eti hairuhusiwi.

Dalili zitaanza kuonekana 2024, ikiwa utakuwepo au kusogezwa mbele Ule wa MITAA.
Mkuu!

Acha watanyukana tu, maana hakuna namna
 
Minyukano ndani ya CCM ni kawaida
Wazee ndo Huwa wanategemewa kuamua ugomvi kinaponuka, bt wazee walobaki ndo wamesikika wakisema " Wazuri hawafi".

Bado Unadhani mnyukano utakuwa Ule ulouzoea before?
 
Back
Top Bottom