Nimekuwa shortlisted kwenye written interview ya accounts assistant officer OSHA

Nimekuwa shortlisted kwenye written interview ya accounts assistant officer OSHA

Learner41

Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
22
Reaction score
65
Habari za muda huu waheshimiwa, samahani, leo nimeona nimekuwa shortlisted kwenye written interview ya accounts assistant officer OSHA (Occupational safety and health authority). Hii ni mara ya kwanza kwenda kufanya interview, tafadhali naomba muongozo wa nini nifanye au nijiandae na nini.

Natanguliza shukrani kwa msaada wowote nitakaopokea. Ahsanteni
 
Mkuu majina yako wapi au wamepiga simu
 
Soma na google kuhusu OSHA Wana deal na nini poa soma job descriptions Yao vizuri, kwa hyo position ujue vizuri pia wanaweza kuuliza ya darasani ka ni written, pia bila kusahau general knowledge
 
jamani mwenye kufahamu graduate wanaanza na kiasi gani cha mashahara hasa cheo cha plant inspector kwenye taasisi ya OSHA
 
Habari za muda huu waheshimiwa, samahani, leo nimeona nimekuwa shortlisted kwenye written interview ya accounts assistant officer OSHA (Occupational safety and health authority). Hii ni mara ya kwanza kwenda kufanya interview, tafadhali naomba muongozo wa nini nifanye au nijiandae na nini.

Natanguliza shukrani kwa msaada wowote nitakaopokea. Ahsanteni
Mie tu kukusaidia,kama huna connection ya kuwa na mtu ama kuvuja kwa pepa nakushauri usiende,niushauri wangu tu
 
Mie tu kukusaidia,kama huna connection ya kuwa na mtu ama kuvuja kwa pepa nakushauri usiende,niushauri wangu tu
Usimkatishe Tamaa mwenzio mkuu ww nenda Ila Dah inataka Moyo watu 650 Huko alafu wanataka watu 3 hapo bado Wapemba wanaasilimia Yao.
 
Mie tu kukusaidia,kama huna connection ya kuwa na mtu ama kuvuja kwa pepa nakushauri usiende,niushauri wangu tu
Usimkatishe Tamaa mwenzio mkuu ww nenda Ila Dah inataka Moyo watu 650 Huko alafu wanataka watu 3 hapo bado Wapemba wanaasilimia Yao.
 
Usimkatishe Tamaa mwenzio mkuu ww nenda Ila Dah inataka Moyo watu 650 Huko alafu wanataka watu 3 hapo bado Wapemba wanaasilimia Yao.
Sio kwamba namkatisha tamaa mie nilishaendaga sana hapo tume ya ajira,nilichokiona na kukishuhudia kama ana hela ya mawazo ni bora asiende,Unajua niliendaga kama mbili nikakuta pepa zimevuja sasa mpaka hapo utakuwa unaenda kwenye intaview ama mtu unaenda kuharibu tu hela
 
Sio kwamba namkatisha tamaa mie nilishaendaga sana hapo tume ya ajira,nilichokiona na kukishuhudia kama ana hela ya mawazo ni bora asiende,Unajua niliendaga kama mbili nikakuta pepa zimevuja sasa mpaka hapo utakuwa unaenda kwenye intaview ama mtu unaenda kuharibu tu hela
Usikute mwenzio Yuko Dar au Yuko mbali mto mada unaishi wapi
 
Sio kwamba namkatisha tamaa mie nilishaendaga sana hapo tume ya ajira,nilichokiona na kukishuhudia kama ana hela ya mawazo ni bora asiende,Unajua niliendaga kama mbili nikakuta pepa zimevuja sasa mpaka hapo utakuwa unaenda kwenye intaview ama mtu unaenda kuharibu tu hela
Mkuu, kumbe pepa Huwa zinavujaga..?
 
Habari za muda huu waheshimiwa, samahani, leo nimeona nimekuwa shortlisted kwenye written interview ya accounts assistant officer OSHA (Occupational safety and health authority). Hii ni mara ya kwanza kwenda kufanya interview, tafadhali naomba muongozo wa nini nifanye au nijiandae na nini.

Natanguliza shukrani kwa msaada wowote nitakaopokea. Ahsanteni
Mkuu share maswali ya accounts tupate uzoefu humuu
 
Back
Top Bottom