Nimekuwa teja wa matumizi ya simu, naachaje?

Nimekuwa teja wa matumizi ya simu, naachaje?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nikiingia kitandani naanza kupiga mizunguko jamiiforums, quora, youtube, fb, ressit, whatsapp, n.k yani kama huko reddit nikiingia subredits kama askreddit, off my chest, today i learned, iama, just start, n.k ndo mda unapepea si mchezo

Kuja kustuka saa nane ishagonga hapo na inabidi niamke saa 12 na nusu kujiandaa kwenda kazini, siku nyingine naamka saa moja kwajili ya uchovu.

Yani imekuwa kama uraibu sasa hadi nimeanza kujiogopa.

Kuhusu bando sina uhaba kabisa maana kila siku nina allowance ya gb 3.

Nashukuru jitihada za mke wangu kunishauri lakini imekuwa ngumu sana kuacha hii tabia. (Wenzangu wenye familia sihitaji kuwawekea maelezo ya ziada ila sitashangaa wavulana wakianza kufikiria kwamba sitekelezi wajibu flani ili kuonekana wajuaji 😂😂 )
 
pole sana.
jaribu kuzima data wakati wa kulala,
weka mbali simu yako wakati wa kucharge,
itengenezee muda simu yako kujiswitch off automatically wakati wa usiku.
 
Tukimalizana yeye atalala ila nikishika simu hapo ni kama nimekunywa redbull au energy
Tatizo unapiga kimoko inatakiwa hiyo saa 8 ushapiga round kadhaa sasa unapumnzika kumi na moja unashtua cha asubuhi utagongewa shauri yako.
 
Basi haumtombi vizuri mkeo,

Maana kama ungekuwa unapiga show kibabe baada ya kumaliza unakuwa kama bata hapo hutakumbuka simu ilipo kuja kustuka saa 1asubuhi.

Mpe show ya maana mkeo.
Tunatofautiana mkuu, wengine mkipiga kimoja tu mnakoroma utadhani mmekimbia kilometa 30,

Acheni kula vyepe ,😂
 
Huo muda ungeutumia kufanya/kutafuta mawazo au shughuli ya kukuongezea kupato zaidi
 
Kila kitu ni maamuzi tu kama umeweza kugundua addiction yako ya simu basi unaweza kuacha ukiamua,mbona mda wa kazi huwi busy na simu ila kitandani mda wa kua na mke ndouko busy na simu.....congole kwa mkeo me nsingeweza
 
Ngoja ugongewe kisha uje uanzishe thread hapa
Wazazi wenye watoto huwa tuna limit vitu vya kuandika kwenye maada hizi, tunajua tayari Baba mwenye familia akiona nmeandika licha ya kuwa na mke bado siachi, anajua tayari picha nzima, Sasa wewe unavyokuja hapa kuanza kuweka maelezo ambayo yamefichwa kimafumbo naona tayari huenda bado huijui barua ya posa, huna watoto, n.k
 
Mara kwa Mara inasababishwa na ubize mwingi mchana

sasa inapofika usiku ndio mda wako wa kuwa huru ambapo akili yako kile inachopendelea kuangalia maana kumetulia

Mimi huenda ni mwathirika kukushinda wewe maana Mara nyingi naamka chaji imekaribia kuisha huku bado data ziko on
 
kama huna mke oa, kama unaye basi mjitahidi kufanyana mkimalizana mnakuwa hoi bin taabani hata kuoga hamuoigi ni kulala tu...
 
Yaani niwe na mwanaume tumelala usiku, asinikumbatie mimi mkewe, yeye na simu, siwezi ni uamue kati yangu na simu, simple as that.
 
Yaani niwe na mwanaume tumelala usiku, asinikumbatie mimi mkewe, yeye na simu, siwezi ni uamue kati yangu na simu, simple as that.
Vijana wengi wanadhani mambo ya uchumba ule wa boyfriend na girlfriend kwa siku chache yanaendelea mpaka kwenye ndoa, Huku kwenye ndoa mkikaa hata miezi kadhaa mnaanza kuchukulia vitu kawaida sana,
 
Back
Top Bottom