Nimekwama huku Pwani, natafuta kibarua au kazi

Nimekwama huku Pwani, natafuta kibarua au kazi

Matrundanjariya

New Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
1
Reaction score
3
Habari zenu Wana jamiiforums,

Ni mwenyeji wa mkoa wa Singida, naombeni connection ya kibarua iwe ni ujenzi (kama saidia fundi au kupanga pavings Nina uzoefu nayo) yaani chochote hata Cha kulima, kusafisha mashamba kwa maeneo ya huku Pwani ya kibaha maana Mimi nipo sehemu inaitwa mlandizi.

Sina chochote hivyo nataka nipate japo hela ya kula na sehemu ya kulala tu halafu nijipange kurudi mkoani, maana kwa Hali niliyonayo sina uwezo wa kurudi hivihivi na Niko na familia kule.

Safari yangu ya kuja huku ilitokana kuwasiliana na mwenyeji wangu ambaye kwa mujibu wa maelezo yake aliniambia anajishughulisha na ujenzi hivyo angenifanyia mpango wa kazi hizo afanyayo yeye, bahati mbaya nilipofika mawasiliano yalipotea yaani akawa haupatikani Sasa sijui kama alinizimia simu au alipatwa na Nini.

Hali hiyo imenifanya nijikute Niko gizani kabisa sijui Nini nifanye, nimejaribu kutembea saiti mbalimbali za ujenzi yaani ni kutembea tu nitakapopata kuna shughuli naulizia lakini nyingi unakuta watu wametimia ngumu kupata nafasi. Imekuwa ni kubahatisha sana nafikiri pia ugeni wangu unachangia.

Kuna msemo wa kuwa kimsaidiacho mtu chake nilijaribu labda niuze simu yangu inisaidie lakini thamani yake ikawa ni ndogo sana nikipiga mahesabu haiwezi nisaidia bali itaniongezea shida nyingine ya kukosa mawasiliano.

Kwa yeyote mwenye kuguswa kunisaidia shughuli au ushauri nitashukuru.

Mungu awabariki.
 
Habari zenu Wana jamiiforums,

Ni mwenyeji wa mkoa wa Singida, naombeni connection ya kibarua iwe ni ujenzi (kama saidia fundi au kupanga pavings Nina uzoefu nayo) yaani chochote hata Cha kulima, kusafisha mashamba kwa maeneo ya huku Pwani ya kibaha maana Mimi nipo sehemu inaitwa mlandizi.

Sina chochote hivyo nataka nipate japo hela ya kula na sehemu ya kulala tu halafu nijipange kurudi mkoani, maana kwa Hali niliyonayo sina uwezo wa kurudi hivihivi na Niko na familia kule.

Safari yangu ya kuja huku ilitokana kuwasiliana na mwenyeji wangu ambaye kwa mujibu wa maelezo yake aliniambia anajishughulisha na ujenzi hivyo angenifanyia mpango wa kazi hizo afanyayo yeye, bahati mbaya nilipofika mawasiliano yalipotea yaani akawa haupatikani Sasa sijui kama alinizimia simu au alipatwa na Nini.

Hali hiyo imenifanya nijikute Niko gizani kabisa sijui Nini nifanye, nimejaribu kutembea saiti mbalimbali za ujenzi yaani ni kutembea tu nitakapopata kuna shughuli naulizia lakini nyingi unakuta watu wametimia ngumu kupata nafasi. Imekuwa ni kubahatisha sana nafikiri pia ugeni wangu unachangia.

Kuna msemo wa kuwa kimsaidiacho mtu chake nilijaribu labda niuze simu yangu inisaidie lakini thamani yake ikawa ni ndogo sana nikipiga mahesabu haiwezi nisaidia bali itaniongezea shida nyingine ya kukosa mawasiliano.

Kwa yeyote mwenye kuguswa kunisaidia shughuli, mawazo au chochote kile mawasiliano yangu ni haya 0780470947.

Mungu awabariki.
Pole kwa changamoto, kulkuwa na kibarua cha tofali na ujenzi mbagala zakiem hospitali, wanalipa kwq wiki.
 
Habari zenu Wana jamiiforums,

Ni mwenyeji wa mkoa wa Singida, naombeni connection ya kibarua iwe ni ujenzi (kama saidia fundi au kupanga pavings Nina uzoefu nayo) yaani chochote hata Cha kulima, kusafisha mashamba kwa maeneo ya huku Pwani ya kibaha maana Mimi nipo sehemu inaitwa mlandizi.

Sina chochote hivyo nataka nipate japo hela ya kula na sehemu ya kulala tu halafu nijipange kurudi mkoani, maana kwa Hali niliyonayo sina uwezo wa kurudi hivihivi na Niko na familia kule.

Safari yangu ya kuja huku ilitokana kuwasiliana na mwenyeji wangu ambaye kwa mujibu wa maelezo yake aliniambia anajishughulisha na ujenzi hivyo angenifanyia mpango wa kazi hizo afanyayo yeye, bahati mbaya nilipofika mawasiliano yalipotea yaani akawa haupatikani Sasa sijui kama alinizimia simu au alipatwa na Nini.

Hali hiyo imenifanya nijikute Niko gizani kabisa sijui Nini nifanye, nimejaribu kutembea saiti mbalimbali za ujenzi yaani ni kutembea tu nitakapopata kuna shughuli naulizia lakini nyingi unakuta watu wametimia ngumu kupata nafasi. Imekuwa ni kubahatisha sana nafikiri pia ugeni wangu unachangia.

Kuna msemo wa kuwa kimsaidiacho mtu chake nilijaribu labda niuze simu yangu inisaidie lakini thamani yake ikawa ni ndogo sana nikipiga mahesabu haiwezi nisaidia bali itaniongezea shida nyingine ya kukosa mawasiliano.

Kwa yeyote mwenye kuguswa kunisaidia shughuli au ushauri nitashukuru.

Mungu awabariki.
Nenda misugusugu hapo ulizia sehemu kunapojengwa maviwanda mapya pikipiki ni buku tatu

Kuna viwanda vinajengwa huko balaa mafundi ni wengi sana.Katafute nafasi Mungu atakubariki
 
Ushapata msaada kama bado nitafute kuna sehemu panaitwa Kiwangwa ni ukitoka chalinze msata kama unaelekea bagamoyo kuna fursa nyingi utazikimbia wewe mkuu hutojutia.

Kwa kipindi hichi ni muda wa msimu wa mananasi wanahitaji sana vibarua
 
Back
Top Bottom