KERO Nimelazwa hospitali moja ya Wilaya, huduma ni mbovu sana

KERO Nimelazwa hospitali moja ya Wilaya, huduma ni mbovu sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

junior ssori

Member
Joined
Mar 21, 2023
Posts
12
Reaction score
38
Wote mnaodhani wanaompinga SSH hawampendi mnakosea sana hata mie nilidhani hivyo mwanzo mpaka yaliponikuta.

Nimelazwa hospitali ya wilaya mkoa mmoja huku kanda ya ziwa sijaamini macho yangu kama ni mimi mtumishi ninafanyiwa hivi embu imagine hospitali madaktari na manesi wanajifanyia kazi kwa mazoea halafu hospitalini hakuna
1. Panadol
2. Mabomba ya sindano
3. Kupima typhoid unalipia 5000 ili hali unakatwa bima
4. Hospitali ya wilaya ina choo kimoja kweli na ni mkoa wenye kipindupindu kila leo hakiishi

Rais Samia kama huyajui haya unachonganishwa na wananchi kwa makusudi ambayo yapo very strategic jitathimini mama adui zako sio mbowe lisu mnyika wala marehemu mzee meddy kibao una wapuuzi wamekuzunguka

Shame on you jenesta muhagama one of the poor brain minister
 
Ana macho makubwa ila uono wake ni hafifu period
 
Wote mnaodhani wanaompinga SSH hawampendi mnakosea sana hata mie nilidhani hivyo mwanzo mpaka yaliponikuta.

Nimelazwa hospital ya wilaya mkoa mmoja huku kanda ya ziwa sijaamini macho yangu kama ni mimi mtumishi ninafanyiwa hivi embu imagine hospital madaktari na manesi wanajifanyia kazi kwa mazoea alafu hospitalini hakuna
1.Panadol
2.mabomba ya sindano
3.kupima typhoid unalipia 5000 ili hali unakatwa bima
4.hospitali ya wilaya ina choo kimoja kweli na ni mkoa wenye kipindupindu kila leo hakiishi
MAMA SAMIA KAMA HUYAJUI HAYA UNACHONGANISHWA NA WANANCHI KWA MAKUSUDI AMBAYO YAPO VERY STRATEGIC JITATHIMINI MAMA ADUI ZAKO SIO MBOWE LISU MNYIKA WALA MAREHEMU MZEE MEDDY KIBAO UNA WAPUUZI WAMEKUZUNGUKA

SHAME ON YOU JENESTA MUHAGAMA ONE OF THE POOR BRAIN MINISTER
Hii nchi inahitaji micro management. Is why JPM alikuwa anaweza sana, even though for a long run si nzuri ila ilihakiiisha hata hao watumishi wavivu wanawajibika.

Now tumerudi tulipotoka, hakuna anaefuatioia, kuanzia juu hadi mawaziri
 
Taja Jina la Mkoa,,, Wilaya ilipo hiyo hospitali unaficha nini sasa?Wakati tunaamini Umekwisha Pevuka vya Kutosha Kiakili,,,Kimwili na Kiroho pia
 
Hapo mpaka hela za wale aliowafokea ndio zikija zitaifufua hospitali hiyo
 
Back
Top Bottom