nimelia hadi nimechoka ....... hii ni fair jamani?

mbabu anazeeka vibaya msamehe bure,kakasirika sababu kakupa masifa mazuri mazuri halafu hata jero hajaambulia.
sikuwa nayo sis..... huyo king unamshusha lini bwana ... tired kuwait banaaa.................
 
Smile Pole, Huyo Mzee Msamehe BureHiyo ni njia tu ya kukuomba Hela
 
Achana naye. kauchauri wakati wa kuondoka acha buku mbili hapo home waambie wampe. hautapungukiwa kitu.
 
Ungempa pesa angeondoka na kutangaza kuwa ama umemhonga kwa kuwa unamtaka au umempa dili ka kukutafutia mme.
 

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......

Ungemwambia sikupi kwa sababu umevaa ugua pole ya CCM ungekuwa umempa elimu ya uraia
 
Achana Naye wala Usichukie ni mwehu

 
Smile,

Pole sana mama kwa yaliyokupata, i know how bad you feel when u have a big burden halafu anatokea chizi mwingine anakuongezea zigo lisilo na maana. But just know this,
Siku hizi mvi hazimaanishi busara
Age isn't a thing but a number
Everybody in this world is insane ila tu viwango ndio tunatofautiana

so ukiona mtu anakwambia kitu ambacho we unaona kabisa cha kichizi kiache kitokee sikio la pili na undelee na mambo yako never let them hurt you
 
teheeeee!kweli ulikua nalo tena ulilibeba haswaaa.ndo wazee wa dotcom haoooo
 
mtumie mzee wako hela bwana aache matusi na tshert ya chama uliompa imeisha
hahaah...ungekutana na mzee wangu ungekuja hapa kusimulia, cuz angebadilisha maisha yako kabisa!!
pamoja na uzee wake but ni noumer!!!
 
hahaah...ungekutana na mzee wangu ungekuja hapa kusimulia, cuz angebadilisha maisha yako kabisa!!
pamoja na uzee wake but ni noumer!!!
teh teh... nipe no yake basi .....
 
OTIS space bar yake ina mushkeli kidogo usijali.:tape: Smile pole....alianza kukusifia umpe hela sasa hukumpa akakuponda...usijali ndio mambo ya vijijini hayo...wale hata mia tano wanaridhika...next time weka mia tano tano za kutosha kwenye pochi...

uandishi wako Smile
OTIS
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…