Konya
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 921
- 118
a beautful woman is another men plaything..ni line mojawapo kwenye huo wimbo..thumb up jomba and i like the song mbayaKawaida kama ulianza uhusiano na mwanamke/mwanaume mapema may be tokea primary ila zinakuwa zile za kitoto toto lakini urafiki wenu unaendelea kudumu mwishowe mnapozidi kukua ndivyo na uhusiano/urafiki wenu unazidi kukua pia then mnakuja kujikuta mmekuwa wapenzi, hapa huwa kuna asilimia kubwa ya penzi lenu kuwa la dhati hata kama mmoja wapo hana standard nzuri ya maisha coz mlifahamiana mapema LAKINI ndugu yangu KIPEPERUSHI huyo binti ulimtamani kwanza kwasababu si rahisi kupenda kitu 100% kabla ya kukiona na inapelekea kushirikisha moja kati ya milango ya fahamu...so mwanzoni wewe haikuwa hivyo, pengine mwenzio alisha kujengea picha flani huyu mtu yuko hivi na vile so alivyo kuta haviko kama ile Imagination yake ni rahisi sana wewe kuwekwa pending..Kumbuka dimbwi la maji halipimwi kwa kuzamisha mguu... Umesha dumbukia sasa inakuwa tabu kwako kujiokoa ila Usikatee tamaa itajipa tu pengine si chaguo lako.
"Is Not Easy by Lucky Dube"