Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Tumekuwa tukiuziwa tkt za 5000. Kwa 8000-10'000. Naona hilitatizo limeisha!
Ila leo kidogo imekuwa kinyume, nimelipa 5000. Nilipokaribia getini nikasoma imeandikwa 6000!!dini yangu airuhusu dhuluma nikawahi kwenye gari pengine nimewadhulumu 1000; ama amenipa kwa bahati mbaya tkt isiyo haki yangu! nikashukuru aliposema wee nendanayo!
Swali niwalikosea ama kunasehemu wanadai wameuza za 6000 Zote!!
bado nikajiulisa wanaendaje kujibu huko kwa kuuza tkt ya 6000. Kwa 5000!
!ilibidi nianze kuangalia imeandikwa nani na nani nakumbuka enziza tenga biliingia simba na yanga tkt imeandikwa
brazil vs taifastars unafanyaje !!
nikainga uwjani saafi
Ila leo kidogo imekuwa kinyume, nimelipa 5000. Nilipokaribia getini nikasoma imeandikwa 6000!!dini yangu airuhusu dhuluma nikawahi kwenye gari pengine nimewadhulumu 1000; ama amenipa kwa bahati mbaya tkt isiyo haki yangu! nikashukuru aliposema wee nendanayo!
Swali niwalikosea ama kunasehemu wanadai wameuza za 6000 Zote!!
bado nikajiulisa wanaendaje kujibu huko kwa kuuza tkt ya 6000. Kwa 5000!
!ilibidi nianze kuangalia imeandikwa nani na nani nakumbuka enziza tenga biliingia simba na yanga tkt imeandikwa
brazil vs taifastars unafanyaje !!
nikainga uwjani saafi