DOKEZO Nimelipia marekebisho ya cheti cha Chuo, huu ni mwezi wa nne sasa, NACTVET wananizungusha tu

DOKEZO Nimelipia marekebisho ya cheti cha Chuo, huu ni mwezi wa nne sasa, NACTVET wananizungusha tu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET).

Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika Uandishi, tukalipia pesa kupitia “Control Number”.

Mpaka sasa miezi minne imefika kila tukienda tunaambiwa kuna tatizo kwenye system, imeenda hivyo mpaka dirisha la kuomba vyuo muda wake umeisha.

Inasikitisha sana kila tukienda wanatuambia "bado", kitu kinachofanya tusitimize ndoto zetu wakati barua tumeandika na pesa tukalipia.

Nifanye nini? Hawa watu wanatuzungusha sana wiki tunaenda ofisini kwao hakuna msaada, ni kama wanatuona hatuna kazi za kufanya, nimekwama kwenye mambo yangu mengi kwa ajili yao.

Hizi baadhi ya Taasisi za Serikali zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko, watu wanafanya kazi kimazoea sana.

Majibu ya NACTEVET ~ NACTVET: Malalamiko kuhusu vyeti yanatakiwa kuwasilishwa kwetu kwa maandishi
 
Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET).

Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika Uandishi, tukalipia pesa kupitia “Control Number”.

Mpaka sasa miezi minne imefika kila tukienda tunaambiwa kuna tatizo kwenye system, imeenda hivyo mpaka dirisha la kuomba vyuo muda wake umeisha.

Inasikitisha sana kila tukienda wanatuambia "bado", kitu kinachofanya tusitimize ndoto zetu wakati barua tumeandika na pesa tukalipia.

Nifanye nini? Hawa watu wanatuzungusha sana wiki tunaenda ofisini kwao hakuna msaada, ni kama wanatuona hatuna kazi za kufanya, nimekwama kwenye mambo yangu mengi kwa ajili yao.

Hizi baadhi ya Taasisi za Serikali zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko, watu wanafanya kazi kimazoea sana.

Majibu ya NACTEVET ~ NACTVET: Malalamiko kuhusu vyeti yanatakiwa kuwasilishwa kwetu kwa maandishi
Pole sana, fanya "jambo" watakuhudumia fasta
 
Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET).

Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika Uandishi, tukalipia pesa kupitia “Control Number”.

Mpaka sasa miezi minne imefika kila tukienda tunaambiwa kuna tatizo kwenye system, imeenda hivyo mpaka dirisha la kuomba vyuo muda wake umeisha.

Inasikitisha sana kila tukienda wanatuambia "bado", kitu kinachofanya tusitimize ndoto zetu wakati barua tumeandika na pesa tukalipia.

Nifanye nini? Hawa watu wanatuzungusha sana wiki tunaenda ofisini kwao hakuna msaada, ni kama wanatuona hatuna kazi za kufanya, nimekwama kwenye mambo yangu mengi kwa ajili yao.

Hizi baadhi ya Taasisi za Serikali zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko, watu wanafanya kazi kimazoea sana.

Majibu ya NACTEVET ~ NACTVET: Malalamiko kuhusu vyeti yanatakiwa kuwasilishwa kwetu kwa maandishi
Wamekujibu huko kuwa hawahangaishwi ba kelele za mitandaoni. Usirogwe uwaandikie namba kule watakufuata wakusage sage!
 
Nina malalamiko yangu kuhusu Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET).

Kuna watu tupo wengi tuliomba tubadilishiwe matokeo ya Chuo kwa makosa ya kibinadamu katika Uandishi, tukalipia pesa kupitia “Control Number”.

Mpaka sasa miezi minne imefika kila tukienda tunaambiwa kuna tatizo kwenye system, imeenda hivyo mpaka dirisha la kuomba vyuo muda wake umeisha.

Inasikitisha sana kila tukienda wanatuambia "bado", kitu kinachofanya tusitimize ndoto zetu wakati barua tumeandika na pesa tukalipia.

Nifanye nini? Hawa watu wanatuzungusha sana wiki tunaenda ofisini kwao hakuna msaada, ni kama wanatuona hatuna kazi za kufanya, nimekwama kwenye mambo yangu mengi kwa ajili yao.

Hizi baadhi ya Taasisi za Serikali zinatakiwa kufanyiwa mabadiliko, watu wanafanya kazi kimazoea sana.

Majibu ya NACTEVET ~ NACTVET: Malalamiko kuhusu vyeti yanatakiwa kuwasilishwa kwetu kwa maandishi
Mimi hata nimeshakata tamaa, ya chuo mwaka huu maana matokeo yangu ya Diploma naahidiwa tu yatapandishwa Kila siku
 
Back
Top Bottom