Nimelipia vifaranga vya kuku 300 aina ya kroiler kwa kampuni ya Silver Land Tanzania sasa unaenda mwezi wa pili

Nimelipia vifaranga vya kuku 300 aina ya kroiler kwa kampuni ya Silver Land Tanzania sasa unaenda mwezi wa pili

PharaohMtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2023
Posts
713
Reaction score
1,208
Wakuu habari za Wakati huu
Wale wa kwetu jamakanza.

Moja Kwa Moja kwenye mada naiamini sana company ya Silverland Tanzania kwa uzalishaji wa vifaranga bora wa Sasso na nimekuwa nikilipia na napokea mzigo bila wasiwasi wowote.

Lakini kwa sasa ni zaidi ya wiki saba tangu niagize vifaranga, wakala wao hapokei simu yangu tena either anambie kuna changamoto gani iliyopelekea nisipate kwa wakati mzigo wangu kwa maana sio mara moja wala mara mbili kuagiza vifaranga na wanakuja on time!

Sasa nimeingiwa hofu, mwenye no zao wahusika wakuu anitumie niwasiliane nao.

Natanguliza shukrani za dhati
 
Wakuu habari za Wakati huu
Wale wa kwetu jamakanza.

Moja Kwa Moja kwenye mada naiamini sana company ya Silverland Tanzania kwa uzalishaji wa vifaranga bora wa Sasso na nimekuwa nikilipia na napokea mzigo bila wasiwasi wowote.

Lakini kwa sasa ni zaidi ya wiki saba tangu niagize vifaranga, wakala wao hapokei simu yangu tena either anambie kuna changamoto gani iliyopelekea nisipate kwa wakati mzigo wangu kwa maana sio mara moja wala mara mbili kuagiza vifaranga na wanakuja on time!

Sasa nimeingiwa hofu, mwenye no zao wahusika wakuu anitumie niwasiliane nao.

Natanguliza shukrani za dhati
Ulimtumia pesa kwenye account ya kampuni au ulimtumia yeye binafsi. Pia eleza ni wakala aliyeko wapi
 
N
Mkuu sio mara moja Wala mbili kuagiza vifaranga aina ya sasso Kwa wakala wao huo na Huwa tuna tuma Kwa account yake. Yeye ni WA shinyanga. Naomba mawasiliano company kama unayo
Mswahili Huwa Sio wa kumuamini Leo atakuwa muaminifu ili kutengeneza jina kesho atakupiga.
Kwann ukulipa kwenye account ya kampuni
 
Labda wakala kafa huwezi jua nenda TCRA uangalie kama hio namba bado ni yake au lini imetumika.
Makampuni haya ya kizungu Huwa wanalinda sana uaminifu, silverland wapo sokoni hadi kesho
 
Labda wakala kafa huwezi jua nenda TCRA uangalie kama hio namba bado ni yake au lini imetumika.
Makampuni haya ya kizungu Huwa wanalinda sana uaminifu, silverland wapo sokoni hadi kesho
Nakubali sana huduma Yao mkuu na sio mara ya kwanza Wala ya2 ni muda mwingi naagiza.
 
Back
Top Bottom