PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 713
- 1,208
Ulimtumia pesa kwenye account ya kampuni au ulimtumia yeye binafsi. Pia eleza ni wakala aliyeko wapiWakuu habari za Wakati huu
Wale wa kwetu jamakanza.
Moja Kwa Moja kwenye mada naiamini sana company ya Silverland Tanzania kwa uzalishaji wa vifaranga bora wa Sasso na nimekuwa nikilipia na napokea mzigo bila wasiwasi wowote.
Lakini kwa sasa ni zaidi ya wiki saba tangu niagize vifaranga, wakala wao hapokei simu yangu tena either anambie kuna changamoto gani iliyopelekea nisipate kwa wakati mzigo wangu kwa maana sio mara moja wala mara mbili kuagiza vifaranga na wanakuja on time!
Sasa nimeingiwa hofu, mwenye no zao wahusika wakuu anitumie niwasiliane nao.
Natanguliza shukrani za dhati
Mkuu sio mara moja Wala mbili kuagiza vifaranga aina ya sasso Kwa wakala wao huo na Huwa tuna tuma Kwa account yake. Yeye ni WA shinyanga. Naomba mawasiliano company kama unayoUlimtumia pesa kwenye account ya kampuni au ulimtumia yeye binafsi. Pia eleza ni wakala aliyeko wapi
Ameshapigwa, au wakala amekufa.Tulia kidogo, naona unachanganya mada. Silverland hawana vifaranga wa kuroila kama ulivyosema kwenye kichwa cha habari
Haujamjibu swali lakeMkuu sio mara moja Wala mbili kuagiza vifaranga aina ya sasso Kwa wakala wao huo na Huwa tuna tuma Kwa account yake. Yeye ni WA shinyanga. Naomba mawasiliano company kama unayo
Nimekosea mkuu nikweli hawana kroiler Huwa naagiza sasso. Anaejua kuedit anaisaidieTulia kidogo, naona unachanganya mada. Silverland hawana vifaranga wa kuroila kama ulivyosema kwenye kichwa cha habari
NimejibuHaujamjibu swali lake
Mswahili Huwa Sio wa kumuamini Leo atakuwa muaminifu ili kutengeneza jina kesho atakupiga.Mkuu sio mara moja Wala mbili kuagiza vifaranga aina ya sasso Kwa wakala wao huo na Huwa tuna tuma Kwa account yake. Yeye ni WA shinyanga. Naomba mawasiliano company kama unayo
Nakubali sana huduma Yao mkuu na sio mara ya kwanza Wala ya2 ni muda mwingi naagiza.Labda wakala kafa huwezi jua nenda TCRA uangalie kama hio namba bado ni yake au lini imetumika.
Makampuni haya ya kizungu Huwa wanalinda sana uaminifu, silverland wapo sokoni hadi kesho
Ahsantee sana mkuu ubarikiwe sana nilikuwa naitaji mawasiliano Yao nijue kulikoni huenda labda wakala wao washamsimamisha kazi.nashukuru sana.Wapigie 0717 332 652
Ntundagi ππππππππWapigie 0717 332 652
Sawa mkuu. Nghariba haogopi mkojo.Ushapigwa. Umepigika. Una uthibitisho gani ulifanya biashara na kampuni au mtu binafsi?
Ngariba walishapitwa na wakati.Sawa mkuu. Nghariba haogopi mkojo.
Nitaagiza Tena na tena
Hakikisha umetuma hela kwenye account ya kampuni.Sawa mkuu. Nghariba haogopi mkojo.
Nitaagiza Tena na tena