Nimelogwa ninenepe tu?

ni ushauri mzuri, na benki yenyewe asiende nmb, wanastaha, na riba zao zina nafuu. kukopa benk kiukweli anaweza akapata majuto na hasa kipindi hiki ambacho biashara zimesimama. kila siku akipigiwa hodi na loan oficer. uzito utampungua.
 
Wewe utakuwa na uvimbe tumboni, wahi kwa daktari
 
Why not? I can say this again and again. Unajua vipotabo vinabebeka, ha ha ha you know?
Raha ni pale unapovaa nguo na kuona tumbo liko flat, lakini nililipia gharama hiyo, kushinda na njaa, mazoezi, kunywa maji mengi.
 
Wanene wana joto balaa 'in between'!!! 94kg ain't bad kama urefu wako upo zaidi ya 180cm.
 
Weka sukari kidogo sana au usiweke sukari kabisa kwenye hizo juice. Pia punguza kula chumvi na katu usiongezee chakula chumvi kwenye sahani.
Pia kula mboga nyingi za majani hasa chaines na kisamvu usisahau na matunda yenyewe. Acha kabisa au punguza kula vyakula vya kukaanga na vyenye mafuta mengi utapungua tu ndugu. La mwisho itengeneze akili yako iamini kwamba unapungua, usisahau kufanya mazoezi hata chumbani kwako asubuhi na jioni na kuomba Mungu akusaidie Inshalaa utapungua tu.
 
Tengeneza smoothie ya greens, (matango, lettuce, celery, ndizi, apples, etc) kunywa hlass moja kama lunch na moja dinner, maji mengi lita mbili na zaidi, breakfast kula kidogo na sio maandazi ila healthy food kama oatmeal, fanya mazoezi hata kutembea dakika 45,
wiki mbili tu utaona tofauti

Nb: smoothie hii detoxifies
 
nitafute wazee wa majanga sio?
Niliwahi kukwambia ww hata ushindie kikombe cha maji..utanenepa tu..ndivyi mwili wako ulivyo...wala usitafute majanga maana naamini uliyapitia na hukupungua sembuse leo!!?..
 
Hakuna mtu anayenenepa bila kula sana. Ukitaka kupunguza unene punguza wanga kabisa, usile chochote chenye sukari nyingi. Labda unakunywa hizi juice za madukani zenye sukari ya hatari. Au unatengeneza juice mwenyewe halafu unaongeza sukari badala ya kuinywa ilivyo. Ukisikia njaa kunywa maji. Umewahi kufunga ramadhani kama ni mwislamu au kufunga kwaresima kama ni mkristo? Jaribu kufunga na kumwomba Munga angalau mara moja kwa wiki. Ukifanya hivyo utajiundia nidhamu itakayokuzuia kula kila wakati kama mchwa. Uzito wa kilo 94 ni hatari sana kwa afya yako na utakukosesha mume
 
Google neno "bosta" hili ndio tatizo linalo kusababishia unene
 
Sikuwa nimefika huko kwako, lakini tangia nimeacha kunywa pombe, na kukata vitu vya sukari, nimepungua sana. Ilikuwa inafika wakati unataka kutoka hakuna nguo inayokupendeza, unaishia kuvaa leggings na top yeyote ile, nikaona haya ni mateso.
sukari niliacha kitambo sana wala pombe sijawai kunywa maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…