Ni miezi 7 sasa tangu huyu mtanzania mwenzetu afariki, sio ndugu yangu, hajawahi kunipa hata shillingi tano, na wala sijawahi kuonana nae uso kwa uso, ila maisha yake yameni-inspire sana, sio siri kifo chake kilinihuzunisha sana.
Nitatafuta siku walau nikaweke maua kwenye kaburi lake.
RIP Mr. Mengi
Nitatafuta siku walau nikaweke maua kwenye kaburi lake.
RIP Mr. Mengi