Non sense!!Ukaweke maua kwa mengi? Ukute kaburi la babu yako hata kujengewa halijajengewa!.. au kwa kuwa alikufa masikini haja ku inspire??
nitatafuta siku walau nikaweke maua kwenye kaburi lake.
RIP Mr. Mengi
JamaniNon sense!!Ukaweke maua kwa mengi? Ukute kaburi la babu yako hata kujengewa halijajengewa!.. au kwa kuwa alikufa masikini haja ku inspire??
huu wehu sasa, hiyo hela ya mataji c ule mwenyewe na wanao? kwani baba ako au babu yako hawajakuinspire? anza na ndugu zako au marafik zako kwanza ambao kwa namna moja au nyingine wamekuinspire na kuinfluence kufanya kazi uifanyayo sasa....
Kwa hiyo Mungu aliyumba?Kama mimi ninavyomiss Masogange. Mungu bhana, yaani kamchukua Masogange akatuletea Amber Rutty, kweli maisha yanazidi kuwa magumu Tanzania.
Umeshanunua au kusoma kitabu chake hadi leo...kama hujasoma ulichoandika ni uwongo.Ni miezi 7 sasa tangu huyu mtanzania mwenzetu afariki, sio ndugu yangu, hajawahi kunipa hata shillingi tano, na wala sijawahi kuonana nae uso kwa uso, ila maisha yake yameni-inspire sana, sio siri kifo chake kilinihuzunisha sana, nitatafuta siku walau nikaweke maua kwenye kaburi lake.
RIP Mr. Mengi