Nimemaliza Diploma ya kilimo mwaka 2010, Naweza kupata mkopo HESLB mwaka huu ?

Joined
Sep 4, 2013
Posts
55
Reaction score
7
Wana JF mi nimemaliza diploma ya kilimo mwaka 2010 na nimeaply bodi ya mikopo mwaka huu ili nisome degree je naweza kupewa mkopo?

Nawasilisha
 
Wana jf mi nimemaliza diploma ya kilimo mwaka 2010 na nimeaply bodi ya mikopo mwaka huu ili nisome degree je naweza kupewa mkopo? Nawasilisha


Nenda kwenye tovuti yao na uangalie kama umekidhi vigezo vya kupata loan

Kila kitu kipo pale
 
Unapata ndio maana wameweka option za diploma kwenye application zao.
 
Unapata ndio maana wameweka option za diploma kwenye application zao.

kwani mkuu option kama zipi mkuu maana mie dip ya kilimo na nimeomba coz zote za mbili sua na udsm na zote ni science na matokeo ya Dip ni Second Class.ushaur zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…