Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Post exposure prophylaxis- dawa za ukimwi kuzuia kuambukizwa unapodungwa say na sindano iliyotumika kumdunga mgonjwa mwenye HIV. Manesi wanapata PEP wakati wanawadunga sindano wenye ukimwi na kujidunga bahati mbayaPEP ni nn?
Subiri miezi 3 upime tenaMm ni yule niliye piga demu kavu kavu demu ambaye ameathirika
Nikapewa dawa ya PEP leo mimezimaliza nimeenda hosptal kupima kile kipimo cha kudondoshea damu ikaonesha control akaniambia negative
Naomba ushauri wenu wakuu
enda nae kupimaIlikuaje ukala huyo dem mwenye ngoma? Na ulikuja kujuaje ka ana ngoma?
Mm ni yule niliye piga demu kavu kavu demu ambaye ameathirika. Nikapewa dawa ya PEP, leo nimezimaliza nimeenda hospitali kupima kile kipimo cha kudondoshea damu ikaonesha control akaniambia negative.
Naomba ushauri wenu wakuu.
acha kabisa mkuu..hizi PEP nilitumia kwa siku tatu tu nikaacha...Niambie mawenge take siku za kwanza
memaliza zoteacha kabisa mkuu..hizi PEP nilitumia kwa siku tatu tu nikaacha...
haya nenda kauze simu sasa!Me ni
memaliza zote