Nimemaliza form 4 naombeni ushauri?

wingman7

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
346
Reaction score
76
Nimemaliza 4m4 mwaka jana na malengo yangu natamani niwe nafanya kaz benki kwa hyo nisomee nini ili niweze kupata kazi benki?
 
Dogo upo mji gani? Kama umeweza kuingia JF basi hebu tafuta vyuo vya accounts kama ulivyoshauriwa hapo juu.
 
Dsm, kurasini

We dogo acha utani? hukifahamu chuo cha uhasibu,kipo kurasini,ukiwa kkoo panda gari za temeke shukia uhasibu mbele ya jkt/jitegemee sec.

Huyo dogo ni noma na sidhani kama yupo Dar maana mpaka kuingia humu JF inaonyesha anakaujanja ka kucheza na mtandao alafu pamoja na maelezo mazuri anakuwa hapajui TIA (hata kama hapajui kwa kufika basi angalau hata kwa kichwani kuwa na picha kidogo), labda anapajua kwa jina lile la zamani kabla ya kuwa TIA
 
Nimepata division 4
Dogo punguza kucheza na mitandao ya kijamii kama upo serious na unataka kutimiza hiyo ndoto uliyokuwa nayo....unaonyesha toka uko form 1 unaijua Jamiiforums sipati picha kuhusu hzo social network nyingine.
Napata mashaka hata hayo matokeo yako ya form four yamereflect uwajibikaji wako katika mitandao kuliko katika masomo.
Kuwa muangalifu vinginevyo lala sana ili uote ndoto nyingine tofauti na uliyokuwa nayo uwenda hiyo ndoto mpya ikaendana na jinsi ulivyo hivyo kuwa rahisi kuitimiza.

 
Dogo hebu check certificate ya banking and finance pale iFM then baadae diploma na degree ya hii course malengo yatatimia usijali dogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…