Hofu yako Nini? Ndiyo jirani yako huyo. Mzoee,Kuna jirani amekamilisha nyumba nilimkuta dah wakuu naomba nichomekee hii, anawatoto machokoraa kazi kuwatania wakwangu. Kila siku nakuta vilio. Namimi ni mgeni bado
Hongera sana mkuu, uanzishe na bustani uachane na kununua mboga za majani, ufuge na kuku wachache kwa ajili ya mayai na kitoweoSeptic tayar,nimehamia tayari mkuu
Kuna jirani amekamilisha nyumba nilimkuta dah wakuu naomba nichomekee hii, anawatoto machokoraa kazi kuwatania wakwangu. Kila siku nakuta vilio. Namimi ni mgeni bado
Nambie rafiki yangu Depal
Sio ajenge uzio halafu aweke geti?
Sio ajenge uzio halafu aweke geti?
blundering, skimming kipi kianze? sirikirusi anaulizaNambie rafiki yangu Depal
Kama umehamia jenga kile unachoona kinakukera sanaSeptic tayar,nimehamia tayari mkuu
Kama huna haraka ya kuingia hapo ndani nakushauri fuata Brandering, weka ceiling board (Gypsum ceiling kama utapendelea ikifuatiwa na frem za milango na madirisha kisha fanya Skimming kwenye Ceiling na kuta za ndani, ikifuatiwa na Floor (Tiles) alafu ndiyo uweke milango (Shutter) ukimaliza amia njeBaada ya piga nikupige, kujinyima, kukwepa mambo mengi hatimaye nimemalizia plasta,madirisha(grill) mlango(grill) sjamaliza mambo kadhaa mf blundering, skimming nk nini muhimu cha kuendelea nacho hapo
Ushauri wako basi