Nimemaliza PEP miezi 6 iliopita baada ya kudate na muathirika kwa uhakika

Nimemaliza PEP miezi 6 iliopita baada ya kudate na muathirika kwa uhakika

flynn05

Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
63
Reaction score
93
Baadhi ya watu wameniuliza kama zile dawa zilinisaidia, kiukweli baada ya matumizi sahihi ya PEP kwa mwezi mzima, nilipima punde tu baada ya kumaliza dawa ilikua mwezi wa 3 mwaka huu..nkawa NEG
nkasubiri mpaka mwezi wa 6 napo nilipima tena ila majibu yakawa NEG na mwezi huu wa 9 pia nmepima bugando na majibu yamekuja NEG

Hii sio kuambiwa ila nilitest mwenyewe, baada ya kusex na muathirika, ndo wazo la kupima likaja, baada ya kumpima majibu yalikuja POSTIVE, na baada ya kumhoji alikubali ni muathirika..hapo ndo nkachukua hatua ya kuwahi bugando hospital, ikiwa ni masaa 13 toka nimesex nae, so nkawa ndani ya mda sahihi wa kuanza dawa....nikatumia kulingana na masharti ya daktari mpaka leo niko sawa...

Ushauri wangu, ukijipata uko kwenye shida kama ilionikuta tafadhali usisite kutumia izo dawa kiukweli kama ni kusaidia zinasaidia, binafsi nmeona ilo, lakini pia kama kijana nimejifunza kua makini sana na tamaa za kimwili, hasa wakati kama huu nikiwa na malengo ya kufika mbali, au kufanikiwa.. maana naamini ingetokea nmeathirika binafsi navojijua nisingeweza kulibeba ilo kwa namna yoyte, mwisho nisingetumia dawa na kama kufa basi ningekufa kirahisi kama ivo...

Niombe tu wengi walinishauri vizuri ingawa na wengine walinipa maneno ya kunivunja moyo ila nashukuru wote kwa pamoja nko salama na naendelea na mapambano dhidi ya ndoto zangu🫡

20240701_125413.jpg

 
Baadhi ya watu wameniuliza kama zile dawa zilinisaidia, kiukweli baada ya matumizi sahihi ya PEP kwa mwezi mzima, nilipima punde tu baada ya kumaliza dawa ilikua mwezi wa 3 mwaka huu..nkawa NEG
nkasubiri mpaka mwezi wa 6 napo nilipima tena ila majibu yakawa NEG
na mwezi huu wa 9 pia nmepima bugando na majibu yamekuja NEG

Hii sio kuambiwa ila nilitest mwenyewe, baada ya kusex na muathirika, ndo wazo la kupima likaja, baada ya kumpima majibu yalikuja POSTIVE, na baada ya kumhoji alikubali ni muathirika..hapo ndo nkachukua hatua ya kuwahi bugando hospital, ikiwa ni masaa 13 toka nimesex nae, so nkawa ndani ya mda sahihi wa kuanza dawa....nikatumia kulingana na masharti ya daktari mpaka leo niko sawa... ushauri wangu, ukijipata uko kwenye shida kama ilionikuta tafadhali usisite kutumia izo dawa kiukweli kama ni kusaidia zinasaidia, binafsi nmeona ilo, lakini pia kama kijana nimejifunza kua makini sana na tamaa za kimwili, hasa wakati kama huu nikiwa na malengo ya kufika mbali, au kufanikiwa.. maana naamini ingetokea nmeathirika binafsi navojijua nisingeweza kulibeba ilo kwa namna yoyte, mwisho nisingetumia dawa na kama kufa basi ningekufa kirahisi kama ivo... niombe tu wengi walinishauri vizuri ingawa na wengine walinipa maneno ya kunivunja moyo ila nashukuru wote kwa pamoja nko salama na naendelea na mapambano dhidi ya ndoto zangu🫡
Hongera kwa Kuwahi matibabu hayo kwa haraka ndani ya 48hrs.
 
Duh, hyo miezi 2 nyuma nilikua niko very down, nikajikuta napita pita sana hovyo na kuongeza body count bila sababu.

Sijui kama niko salama 🙄
 
Hongera sana mzee. Hizo ziliniokoa mara 2 baada ya kuuza mechi kwa watu positive.

Ukiwahi kutumia ndani ya muda huwezi kupata. Pia ngoma ni ngumu sana kupata kwa normal sex, labda kama umekamia mechi unasugua hadi unasikia harufu ya mishkaki.
 
Baadhi ya watu wameniuliza kama zile dawa zilinisaidia, kiukweli baada ya matumizi sahihi ya PEP kwa mwezi mzima, nilipima punde tu baada ya kumaliza dawa ilikua mwezi wa 3 mwaka huu..nkawa NEG
nkasubiri mpaka mwezi wa 6 napo nilipima tena ila majibu yakawa NEG na mwezi huu wa 9 pia nmepima bugando na majibu yamekuja NEG

Hii sio kuambiwa ila nilitest mwenyewe, baada ya kusex na muathirika, ndo wazo la kupima likaja, baada ya kumpima majibu yalikuja POSTIVE, na baada ya kumhoji alikubali ni muathirika..hapo ndo nkachukua hatua ya kuwahi bugando hospital, ikiwa ni masaa 13 toka nimesex nae, so nkawa ndani ya mda sahihi wa kuanza dawa....nikatumia kulingana na masharti ya daktari mpaka leo niko sawa...

Ushauri wangu, ukijipata uko kwenye shida kama ilionikuta tafadhali usisite kutumia izo dawa kiukweli kama ni kusaidia zinasaidia, binafsi nmeona ilo, lakini pia kama kijana nimejifunza kua makini sana na tamaa za kimwili, hasa wakati kama huu nikiwa na malengo ya kufika mbali, au kufanikiwa.. maana naamini ingetokea nmeathirika binafsi navojijua nisingeweza kulibeba ilo kwa namna yoyte, mwisho nisingetumia dawa na kama kufa basi ningekufa kirahisi kama ivo...

Niombe tu wengi walinishauri vizuri ingawa na wengine walinipa maneno ya kunivunja moyo ila nashukuru wote kwa pamoja nko salama na naendelea na mapambano dhidi ya ndoto zangu🫡

Bingwa ikichora mingapi ni positive
 
Baadhi ya watu wameniuliza kama zile dawa zilinisaidia, kiukweli baada ya matumizi sahihi ya PEP kwa mwezi mzima, nilipima punde tu baada ya kumaliza dawa ilikua mwezi wa 3 mwaka huu..nkawa NEG
nkasubiri mpaka mwezi wa 6 napo nilipima tena ila majibu yakawa NEG na mwezi huu wa 9 pia nmepima bugando na majibu yamekuja NEG

Hii sio kuambiwa ila nilitest mwenyewe, baada ya kusex na muathirika, ndo wazo la kupima likaja, baada ya kumpima majibu yalikuja POSTIVE, na baada ya kumhoji alikubali ni muathirika..hapo ndo nkachukua hatua ya kuwahi bugando hospital, ikiwa ni masaa 13 toka nimesex nae, so nkawa ndani ya mda sahihi wa kuanza dawa....nikatumia kulingana na masharti ya daktari mpaka leo niko sawa...

Ushauri wangu, ukijipata uko kwenye shida kama ilionikuta tafadhali usisite kutumia izo dawa kiukweli kama ni kusaidia zinasaidia, binafsi nmeona ilo, lakini pia kama kijana nimejifunza kua makini sana na tamaa za kimwili, hasa wakati kama huu nikiwa na malengo ya kufika mbali, au kufanikiwa.. maana naamini ingetokea nmeathirika binafsi navojijua nisingeweza kulibeba ilo kwa namna yoyte, mwisho nisingetumia dawa na kama kufa basi ningekufa kirahisi kama ivo...

Niombe tu wengi walinishauri vizuri ingawa na wengine walinipa maneno ya kunivunja moyo ila nashukuru wote kwa pamoja nko salama na naendelea na mapambano dhidi ya ndoto zangu🫡

Ni bei gani inauzwa hii dawa katika vituo vya afya??
 
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama
 
Back
Top Bottom