Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Samahani wataalamu wa afya rejea kichwa cha habari hapo juu nimetumia SP siku ya ijumaa nlikua na malaria 4, sasa nauliza baadae naweza nikanywa pombe manake nna kiu mbaya na nimepata mwaliko kuna sherehe jioni somewhere tafadhali mnipe taarifa.
Asanteni
Asanteni