Mzuka wanajamvi!
Huyu makamu wa Rais mtarajiwa wa Kenya Rigath Gachagua Mbona hakuwa anasikika na kujilikana kwa saanaa? Inaonekana ni mwanasiasa mkimya Sana na anafanya kazi na mambo yake kwa vitendo siyo blah blah blah.
Mimi mara yangu ya kwanza kumfaham ni Ruto alipomchagua kuwa mgombea mwenza wake. Rais Ruto inaonekana alimstadi Sana kwa karibu na kumuona anafaa.
Nilijua nakumfaham Zaid katika hule mdahalo debate ya wagombea wenza alipomchanachana na kumuangusha vibaya Martha karua kwa kushusha nondo za hatariiii na kutema madini yaliyojitosheleza.
Rais Ruto kweli kapata msaidizi.
Huyu makamu wa Rais mtarajiwa wa Kenya Rigath Gachagua Mbona hakuwa anasikika na kujilikana kwa saanaa? Inaonekana ni mwanasiasa mkimya Sana na anafanya kazi na mambo yake kwa vitendo siyo blah blah blah.
Mimi mara yangu ya kwanza kumfaham ni Ruto alipomchagua kuwa mgombea mwenza wake. Rais Ruto inaonekana alimstadi Sana kwa karibu na kumuona anafaa.
Nilijua nakumfaham Zaid katika hule mdahalo debate ya wagombea wenza alipomchanachana na kumuangusha vibaya Martha karua kwa kushusha nondo za hatariiii na kutema madini yaliyojitosheleza.
Rais Ruto kweli kapata msaidizi.