Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,054
mkuu huwa hupendani ujinga kwa malalamiko yasiyo na maana au sio[emoji3] [emoji3]kati ya watanzania wanne mmoja ana matatizo ya akili
huku kweli nikutudharirisha mie hata angeonja robo,Naaza kuamin ule msemo eti wanaume wanatoweka kwa kasi sana,
Wanawake mna kazi kweli
huku kweli nikutudharirisha mie hata angeonja robo,
Ah ah ah ah ahhivi msimu wa kuvuna bangi umefika?
Dah...nyama nyekundu siyo nzuri bana...nafaka na samaki/kuku ndiyo mpango mzima[emoji13] [emoji13]Mkuu inaonesha hapo home ni mwendo wa nafaka tu, no samaki, no nyama thats why ameamua kupunguza kiu yake ya nyama jikoni.
My take: jitahidi weka ratba ya nyama even 3 days per week, vinginevyo akitokea jamaa wa bucha(muuza nyama) huyo mkeo ataliwa kirahsi sana.
Inashangaza...Kwa nini unaingiza wapare kwenye ishu personal kabisa? Grow up!!!