T. M agobe ushauri wako watu wakiusoma na wakikujua watamtafuta mkeo wamgonge manake wanajua watasamehewa tu. Ulishawahi kuwa padre au mchungaji ukawa na mchezo huo nini?
1.Kwanza ingehamishiwa kwenye mahusiano, 2.Mke wa mchungaji hahusiki na uzinzi wa mumewe, 3.Mngemaliza kule kule kwako, 4.Utagombana na wanaume wangapi? tatizo ni mkeo.
msindikize akapime maana huwezi jua analisha kondoo wangapi wa bwana na kama wote wapo salama.