yaan umeongea point kama nayowaza big up kwa kuona mbaliJambo la kwanza usiwe na mazungumzo na uyo mwanamke anaweza kukurubuni na wewe ukaingia kwenye mtego.
Jaribu kujiweka mbali sana na yeye.
kibao cha nini kwangu tenaInahitaji utaalam sana kumueleza vinginevyo kibao kinaweza kukugeukia.
Never say neverduh sina uhakika kama ni member ila anapenda saaana mitandao
kabisaWanaume tumeumbwa na koromelo ili kuweka akiba ya maneno sio kama wanawake. Kaa kimya umeshaona limeze na uvumilie kusema haitakusaidia wewe wala hao wanandoa
hii inauma hasa kwa awamu ya magufuli uone mtu analiwa vyake
sauti ataijua labda ninunue line alafu nimpe mtu amweleze au nitumie smsNunua line mpya ya simu mueleze jamaa yote alafu itupe
Tumia txtsauti ataijua labda ninunue line alafu nimpe mtu amweleze au nitumie sms
ila bora ajue hapa hapa , kuwa siungani na anayofanya mke wakeNever say never
ngoja nikausheWatu hawana jema ndugu yangu
Unaweza sema ukwer alaf bhado wakawa pamoja unadhan utaonekanaje
cha kufanya
hakuna malef bila ncha......yatakua wazí
Sent using Jamii Forums mobile app
yessTumia txt
sauti ataijua labda ninunue line alafu nimpe mtu amweleze au nitumie sms
Namaanisha unaweza kwenda kumueleza huyo kaka asikuelewe, au huyo dada akasema kuwa ww ndo unamtaka.kibao cha nini kwangu tena
Nia yako ni njema ila Kusema ukwel btn married Couples unatakiwa uwe na ushahid haswa ukiacha maneno tuila bora ajue hapa hapa , kuwa siungani na anayofanya mke wake