Nimemgonga mke wa bro leo asubuhi

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,899
Reaction score
3,688
Niaje wazeiyaaah..
MKO Bwaxx....

Kesho lazima Ronaldo achukue ndoo ile kwan ni muhim kwenye mchakato wa ballon dor 2016 ambayo obvious kajamaa kanachukua (Messi tupa kuleee)

Anyway, hao walikua wadhamini wa habar za mchezo (sio zile za Sports HQ ya 93.7 FM)

Sasa issue iko hivi mazee :
Leo asubuhi nimemgonga mke wa bro wangu...

Nimefunga chuo nimekuja dar likizo kwa bro huku kibada kigamboni..
Ebanaee, leo jmosi bro huyooo kutafuta pesa, hana weekend wala ckukuu (ana ki frame pale kariakoo)

Mle ndan kuna ki baskeli nikakitoa nikawa napiga zoezi nacho...
Sasa ile namalizia round ya mwisho (ya nne) naingia hivi getini kumbe shem anatoka kwenda kumwaga taka taka....
EBANA Eee nikamkwarua na steringi ya baskeli kachubuka mkononi...
Hata hivo damu hazijatoka..

USHAURI :
Tuwe makin tunapo fanya mazoezi mazee.....

Tchaoooooo
 
Pole kwa "kumgonga" shemeji yako
 
daah basi kesho portugal ndoo wataishia kuingalia tu hawatoigusa
 
Dah wewe sio wale baba nanii alisema mnaitwa sijui kina nani vileee!?
 
Watu tunapenda story za mujini hah hah hah jah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…