That Gentleman
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,215
- 3,678
......ujirembe halafu tutoke.honey wangu we fanya ujirembe
We nanga sio routmatch, mchaka mchaka.[emoji4] hapa rootmachi za alfajiri hapa.
Duuu! Pm tena au chenja?njoo pm wewe ni shida sana hapa njini unaonekana ulikua kiongozi wa chenja kule maeneo fulani daah
hahaha niwache hukonjoo pm wewe ni shida sana hapa njini unaonekana ulikua kiongozi wa chenja kule maeneo fulani daah
Op gani mkuu hata mm huko huko.Hamjakesha nyie waulizeni awamu ya kwanza 821 kilicho wapata
Op ipi mkuuTunaondoka, haya twende
Tunaondoka, haya twende....
Guruma jimama hilo
Guruma linasikia utam x2...
821 KJ.... Bulombora!
Ila jamaa wanadic sana polisi!
Et polisi wanapiga push up kwenye godoro [emoji38][emoji38][emoji28]
ujirembe alafu tutoke.... [emoji4] [emoji4]honey wangu we fanya ujirembe
umenkumbusha jitu baya lenye roho mbaya MR.MUNDEBA (RSM)Wapi 821 kj ndolile amba ndolile ndolile amba ndolilee
Hata route match tulipiga mayowe ya kufa MTU. Kutoka Makutopora hadi Dodoma jamhuri na kurudi. Nyingine tukapiga kule uwanja Wa ndege. Kupita mzakwe.We nanga sio routmatch, mchaka mchaka.
yapNa wewe ni 841 kj
Wewe ndo una roho mbaya mbona alikua peace sana.umenkumbusha jitu baya lenye roho mbaya MR.MUNDEBA (RSM)