Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Kumbe mkuu ni kizee shikamooHata route match tulipiga mayowe ya kufa MTU. Kutoka Makutopora hadi Dodoma jamhuri na kurudi. Nyingine tukapiga kule uwanja Wa ndege. Kupita mzakwe.
Shikamoo Jkt. B coy. 1986/7
Mkuu acha watufurahishe siku zikatike haraka.Watoto wa mujibu ..... Mnashida sana eenh
ahahaaa asantePole na baridi mkuu hasa kule changarawe
Ulikuwa Bravo mgambo eeeh...!???Ka mb.olo kadogo kanat..om.ba jimama.....Dah hii nyimbo ilitulaza mahabusu sisi na afande wetu,RSM Matanda aliposikia tu akasema MP kamata wote waleeee siku tatu halafu tukapewa Guard siku tatu
hahaha yaelekea huko huwaga mnavutishwa bangimalela malela malela...
malela malela waaaangu namtafutaaaa...
Hauvutshwi ila lyf inakufanya unadata kidogohahaha yaelekea huko huwaga mnavutishwa bangi
1.Usinitege dada nimeokoka mwenzio....We sio lako Dadaaaaa!! la mchina hilo
we dada umezaliwa nalo hilo..(inye plus)