Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Tangu asbh na urudia kuipigaHuyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
Kwa msiofahamu huyo chalii ni mtoto wa BANZA STONE
wasiofahamu mkuuSasa unamwabia nan?
Na Mimi ndo nashangaaaLini iokote imefanywa wimbo wa taifa??
Sio wimbo wa taifa,sema wimbo wa IOKOTE ni wimbo wangu wa chumbani Kila siku ok.Huyu dogo nimetokea kumkubali sana baada ya kumsikia kwenye wimbo wa iokote wa yeye na maua sama.
Kwa hakika ule wimbo bila kuwepo yeye usingekuwa wimbo wa taifa kama ilivyo hivi sasa.
LeoLini iokote imefanywa wimbo wa taifa??