Nimemkubali Sonko na harakati zake

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Jana mke wangu amewapeleka watoto wetu pale Aga Khan walk kucheza skating. Mwanangu wa kiume akapata ajali mbaya iliyomfanya ang'oke meno tatu, wakati anafanyiwa huduma ya kwanza, jamaa fulani kawapigia Sonko rescue team and baada dakika chache ambulance yao ikafika na kumpeleka hospitali.

Kwa kweli mimi huwa sijamkubali Sonko na vituko vyake, lakini jana nilihisi tofauti. By the time nafika hospitalini kuungana na jamii yangu, tayari mtoto alikua amefanyiwa matibabu. Hapakua na muda kuwaita AMREF ambao huwa nimejiunga na huduma zao.
 

Promo huna lolote jamaa anauza unga.
 
je katika tanzania kuna kiongozi anaeigusa jamii direct kama mike sonko wa nairobi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…