Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kuna watu wajinga sana, wengine sisi tumeanza kwenda uwanja mwaka 1988 enzi hizo wengine hamjulikani kama mtazaliwa, eti sijamuona Roster Ndunguru nimesimuliwa, mimi niliyezaliwa Ocean Road nisimjue marehemu Roster Ndunguru, Muhiddin Pazi nisimjue, Abbas Kuka? John Bosco nyie wehu kweli.
Haya sasa Leo nimemkumbuka marehemu Raphael Paul na Twaha Hamidu Noriega.Katika mabeki wa kulia wa Simba niliowahi kuwashuhudia huyu RP alikuwa hana mfanowe kwangu, nimewaona akina Abubakary Kombo, Deo Mkuki, Rashid Abdallad, Sylvanus Ibrahim Polisi akitoka Yanga, Mavumbi Omary, Somebody Kazimoto kutoka Ushirika Moshi, Said Sued, Barbara's Sekelo, Ndandou Ramadhan akitokea Yanga, Kasongo Athuman na wengineo nimewasahau lkn RP alikuwa habari nyingine, ni mfupi na mnene lakini alikuwa anajua kumwaga maji.Akianzishiwa tu kipa Mosses Mkandawile spidi yake ni supersonic.
Huko kushoto Twaha Hamidu naye alikuwa kiboko, walikuja akina Alphonce Modest, siku nyingine anacheza Deo Mkuki akitokea Pamba, Ramadhan Watso lkn Noriega alikuwa mtu na nusu.Mungu akupe afya Twaha Hamidu Noriega.
Nawakumbuka sana wewe na mshambuliaji Malota Soma Ball Juggler, natafuta zawadi niwapatie, burudani mliyonipa enzi za utoto wakati nawaangalia hazipo tena, sijui Lomalisa sijui nani.Kha.
Haya sasa Leo nimemkumbuka marehemu Raphael Paul na Twaha Hamidu Noriega.Katika mabeki wa kulia wa Simba niliowahi kuwashuhudia huyu RP alikuwa hana mfanowe kwangu, nimewaona akina Abubakary Kombo, Deo Mkuki, Rashid Abdallad, Sylvanus Ibrahim Polisi akitoka Yanga, Mavumbi Omary, Somebody Kazimoto kutoka Ushirika Moshi, Said Sued, Barbara's Sekelo, Ndandou Ramadhan akitokea Yanga, Kasongo Athuman na wengineo nimewasahau lkn RP alikuwa habari nyingine, ni mfupi na mnene lakini alikuwa anajua kumwaga maji.Akianzishiwa tu kipa Mosses Mkandawile spidi yake ni supersonic.
Huko kushoto Twaha Hamidu naye alikuwa kiboko, walikuja akina Alphonce Modest, siku nyingine anacheza Deo Mkuki akitokea Pamba, Ramadhan Watso lkn Noriega alikuwa mtu na nusu.Mungu akupe afya Twaha Hamidu Noriega.
Nawakumbuka sana wewe na mshambuliaji Malota Soma Ball Juggler, natafuta zawadi niwapatie, burudani mliyonipa enzi za utoto wakati nawaangalia hazipo tena, sijui Lomalisa sijui nani.Kha.