Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Dah dogo alikuwa bonge la rapper walikatisha maisha yake mapema sana alikufa akiwa na miaka 20
Producer Rico Beats alisema kwamba kabla ya kufa kwake alikuwa anajuta kuwa kwenye gang na alikuwa anawaasa watoto wadogo wajiepushe na gangs
Kwenye tasnia amekaa miaka 2 tu yaani huo unyama ameufanya ndani ya kipindi kifupi sana jamaa alikuwa mkali sana
Producer Rico Beats alisema kwamba kabla ya kufa kwake alikuwa anajuta kuwa kwenye gang na alikuwa anawaasa watoto wadogo wajiepushe na gangs
Kwenye tasnia amekaa miaka 2 tu yaani huo unyama ameufanya ndani ya kipindi kifupi sana jamaa alikuwa mkali sana