Nimemkumbuka sana Marehemu Afande Mashaka, alikufa kibaya sana

Baada ya Andrew kuondoka Azania shule iliharibika Sana!
 
Maneno hauzi CD tena , mManeno toka longtime ame kua na TAXI yake.
 
Askari polisi akikuonea makusudi we "rara nae mbele kwa babu"
 
Wakati huo, ATM maximum amount ya kutoa ilikuwa shilingi ngapi kwa siku?
Hata mimi nimeshangaa mamilioni kutoka kwenye ATM.
Watu wengine wanasemaga ukiwa muongo, usiwe msahalifu.
Ingekuwa rahisi hivyo mbona tungewakomesha wezi, majambazi, matapeli na Wanyang'anyi.
 
Labda lengo ilikuwa kutoa funzo ilaa Hakuna namna Askari anaweza fanya Ujinga kama huoo japo hao jamaa Kichwani hakuna Kitu.
Sijaandika stor ya kubumba aise
 
Ni kweli. Hata IGP wao, Sirro, na jambazi la kutupwa!
 
Wakati huo, ATM maximum amount ya kutoa ilikuwa shilingi ngapi kwa siku?
na toka kuanzishwa kwa ATM siku zote kuna CCTV, huyo askari aidha alikuwa anajiamini kupita kiasi ama mpumbavu kupita maelezo. All in all dhamira ya story ni nzuri lakini ni kamba. Haiaminiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…