Nimemkumbuka sana Marehemu Afande Mashaka, alikufa kibaya sana

Huyo mzee hovyo Sana zama zake ujambazi ulishamili sana akiwa mlezi arusha, mwanza, dar, Mbeya ma rpc walihama na majambazi.
 
Nasikia aliwajengea waislamu msikiti wakaukataa kwa sababu ya madhila aliyowatendea waislamu nchini.
 
Nature ya Kazi ya police inawalazimisha kuwa vile Neema tu ya Mungu ikutembelee
 
Kuna traffic mmoja pwani alikamata gari ya samaki ya mpemba kwa makosa ya barabarani, mpemba akamsii sana traffic amuachie awaishe samaki sokoni wakioza atapata hasara alisii Sana traffic hakuelewa somo hadi samaki wakaharibika, mpemba akamwambia askari asante nashukuru ila kama samaki wanaoza binadamu nao uoza then akaondoka na samaki wake walioharibika. Aikupita wiki yule askari alianza kuoza mzima hadi umauti ukamkuta.
Hizi Kazi watu tufanye kwa kubalance
 
Ukiona askari baada ya kustaafu anaishi maisha magumu sana usimuonee huruma usimsaidie utakuwa unamkosea Mola wako. Huyo yupo kwenye adhabu ya kulipwa madhila yake dhidi ya wanadamu.
Mimi walinidhulumu madini ya milioni 40 lakini mtafutaji akati tamaa.
 
Kwenye ATM Machine hakukuwana Camera?

Mi nakumbuka miaka ya nyuma kutoa kwenye ATM ilikuwa mwisho 400,000X2 kama sikosei.

Hiyo Milion moja aliitolea wapi? Ukiwa mtunzi inakubidi ufanye tafiti kwanza
 

 
Kwahiyo uwezi kwenda ATM na kadi mbili za bank moja? au ukitaka Mashaka amwambie mtoa mada Hadi idadi ya kadi iliyotumika kutoa pesa kwenye ATM? wengine wanakadi tano za Bank moja.

Mmoja alitaka kuniweka ndani kisa natembea kibabe ndani ya kituo Cha Polisi nilipokwenda kumwekea jamaa yangu dhamana.

Polisi wetu wanamtindio wa akili, nikajiuliza nitembelee magoti ndani ya kituo Cha Polisi au?
Kwenye ATM Machine hakukuwana Camera?

Mi nakumbuka miaka ya nyuma kutoa kwenye ATM ilikuwa mwisho 400,000X2 kama sikosei.

Hiyo Milion moja aliitolea wapi? Ukiwa mtunzi inakubidi ufanye tafiti kwanza
 
atm za kipindi iko zilikua hazina camera? anawezaje ku mrob mtu hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…