mwenyeKitu
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 946
- 771
unamaanisha ana aka kaugonjwa kakisasa mkuu?!udadavuzi kidogo
sio vizuri kumuelezea mwenzako hvyo.
hujafa hujaumbika unafikili kama atakuwa amesoma coment zako hizi atajisikiaje haipendezi kuwaelezea wagonjwa udhaifu wao uliosabisha malazi yao hata kama ni uzembe hata na wewe yaweza kukuta siku moja
ya MUNGU mengi
We unaejiita GENTAMYCINE una roho mbaya sana, anyway, tunashukuru wamesema anaendelea vizuri.
Mkuu Mzimu wa Kolelo, huyo GENTAMYCINE ni mpuuzi tu, ugonjwa unaoomsumbua Vengu hauhusiani na hicho kilikuwa kikimuumiza roho huyo mpuuzi eti kubadilisha mademu, anaongea asichokijua, naona alikuwa anapata wivu sana nahisi alikuwa atamani abadilishwe na yeye!
elezea vizuri mkuu gentamycine
ana-harisha na kutapika mara 32 kwa wikiMi najua anaumwa. Specially sijui ugonjwa unaomsumbua hasa.
...acha hizi pigo za kichok.o wewe bwenga!Bado Anacheza Tu Na Nyuzi Bin Nyuzi Za " Dally Kimoko ".
huwa sibishani na watu kama wewe mana tukiendelea hapa tutajaza uzi 7bu wewe ni mpenda ligi za kipumbavu soma coment vizuri utaelewa hakuna sehemu ambapo nimeainisha ugonjwa wowoteWewe Punguani Nini! au Ndiyo Mwenyewe? Kuna Ugonjwa Gani Nimeutaja Hapo Labda Unaomuhusu?
mkuu achananaye usibishane na huyu mtu BICHWA kubwa ndani upepoMkuu Mzimu wa Kolelo, huyo GENTAMYCINE ni mpuuzi tu, ugonjwa unaoomsumbua Vengu hauhusiani na hicho kilikuwa kikimuumiza roho huyo mpuuzi eti kubadilisha mademu, anaongea asichokijua, naona alikuwa anapata wivu sana nahisi alikuwa atamani abadilishwe na yeye!
mkuu nakuheshimu,so jichunge niendelee kukuheshimu!halafu nshakuwa nna wasiwasi na kichwa chako we kibabu,kulikuwa na haja gani kuandika uozo wooote huo,si ungejibu tu vizuri,halafu hayo mafumbo peleka huko kwa majirani zako,hapa sio mahala pake.Nashangaa nakujitia ujuaji kote huko lakini huo mbichwa wako umeshindwa hata kuelewa kauli mbiu ya JF "where we dare to talk openly"...sasa hayo mafumbo hapa ya kazi gani!hii inadhihirisha wazi unachotaka kutuaminisha hapa ni upupu tu na uongo mtupu,na kweli wewe utakuwa unapelekeshwa na mihemko ya wivu tu...mafumbo peleka kwa wakwe zako sio hapa jf.Maswali Ya Kitoto Huwa Siyafagilii Sawa? Kama Ubongo Wako Umeshindwa Kujiongeza Basi Kabadilishane Na Wa Kuku Ili Tujue Moja. Sasa Hivi Ni Mwendo Wa MAFUMBO Tu Na Kama Akili Zako Ni Za " Panzi " Kumwelewa GENTAMYCINE Itakuwa Ngumu Mno. Shirikisha Ubongo Wako Mkuu.
mkuu nakuheshimu,so jichunge niendelee kukuheshimu!halafu nshakuwa nna wasiwasi na kichwa chako we kibabu,kulikuwa na haja gani kuandika uozo wooote huo,si ungejibu tu vizuri,halafu hayo mafumbo peleka huko kwa majirani zako,hapa sio mahala pake.Nashangaa nakujitia ujuaji kote huko lakini huo mbichwa wako umeshindwa hata kuelewa kauli mbiu ya JF "where we dare to talk openly"...sasa hayo mafumbo hapa ya kazi gani!hii inadhihirisha wazi unachotaka kutuaminisha hapa ni upupu tu na uongo mtupu,na kweli wewe utakuwa unapelekeshwa na mihemko ya wivu tu...mafumbo peleka kwa wakwe zako sio hapa jf.
Nakuheshimu sana unajua,usilazimishe nikuvunjie heshima kwa kukosa kwako ustaarabu.
Wivu utakuua,au ulitaka wenzako wasipandishe chumba cha huko juu ili upandishe pke yako daily?Muda Mwingi Alikuwa Akikesha Na Mademu Kawe Ktk Baa Maarufu Ya MAIFEA Chumba Cha Kule Juu Kabisa Kisha Totooz Zikibadilishana Tu Kupanda Ngazi Kuelekea Kule Juu. Ndiyo Hivyo Tena Sasa Hivi Analipiga Gitaa La " Dally Kimoko " Hadi Huruma. Naomba Niishie Hapa!
Umemjibu vema huyo jamaa:sio vizuri kumuelezea mwenzako hvyo.
hujafa hujaumbika unafikili kama atakuwa amesoma coment zako hizi atajisikiaje haipendezi kuwaelezea wagonjwa udhaifu wao uliosabisha malazi yao hata kama ni uzembe hata na wewe yaweza kukuta siku moja
ya MUNGU mengi
Umemjibu vema huyo jamaa:
binadamu huwa tunajisahau sana kusemea watu mabaya Mungu ndo anajua siri ya kila mmoja!! Tuangalie ndimi zetu maana wewe unaejiona mzima Leo na kutoa kejeli kwa wagonjwa unaweza ukatangulia na kumwacha alie mgonjwa..!!
Tusiwe watu wa kutoa kejeli na Maneno ya kashfa ili kujifurahisha nafsi zetu na kudhani tunaweza mfurahisha kila mmoja..." hujafa hujaumbika"lolote laweza kutokea katika maisha yetu
Mkuu Mzimu wa Kolelo, huyo GENTAMYCINE ni mpuuzi tu, ugonjwa unaoomsumbua Vengu hauhusiani na hicho kilikuwa kikimuumiza roho huyo mpuuzi eti kubadilisha mademu, anaongea asichokijua, naona alikuwa anapata wivu sana nahisi alikuwa atamani abadilishwe na yeye!
Haya ndo mafumbo yaliyotukuka? We jamaa bwana basi tu.Magonjwa Mengine Huwa TUNAJITAKIA Wenyewe. Tuache Kuwa WANAFIKI Humu! Kuna Mijitu Humu Inajifanya Kuwa Watu WEMA Na Wenye HURUMA Sana Wakati Usikute Wao Ndiyo WANYANYAPAAJI Wakubwa Na Hawahudumii Hata Ndugu Zao Wenye " Dally Kimoko ". Nitawaonea Tu HURUMA Wao Ambao Wamepata " Dally Kimoko " Kwa KUBAKWA, KUCHANWA Na Kitu Chenye Ncha Kali N.K. Lakini Wale Ambao Wameupata " Dally Kimoko " Kwa UMALAYA, UJINGA, SIFA Na UFUSKA Wao Wa Kujifanya Wao Ndivyo " Bandu Bandu " SIWAONEI HURUMA NG'O Na MTANISAMEHE SANA KWA HILI. Tusipopeana Haya MAKAVU Kamwe HATUTOBADILIKA Na Tutazidi Tu KUPUKUTIKA. Narudia Tena Kusema Na Tena Kwa MSISITIZO Kabisa Kuwa TUACHENI UNAFIKI Na TUSEME UKWELI Huku TUKIKEMEA Ili Vizazi Vijavyo VICHUKUE TAHADHARI.
mkuu , achana na huyo mwehu mnyarwanda.!Mkuu Mzimu wa Kolelo, huyo GENTAMYCINE ni mpuuzi tu, ugonjwa unaoomsumbua Vengu hauhusiani na hicho kilikuwa kikimuumiza roho huyo mpuuzi eti kubadilisha mademu, anaongea asichokijua, naona alikuwa anapata wivu sana nahisi alikuwa atamani abadilishwe na yeye!