Kwani mkeo? Kama wewe kaweza kukusambulia kwa raha zako, kwanini asiwasasambulie wengine kwa raha zao? Una hati miliki?
Biashara ni matangazo! Unanchekesha, eti "mpenzi". Mpenzi pochi tu kwa anaeweza kukuvulia kabla ya ndoa. Usijidanganye.
Kwani mkeo? Kama wewe kaweza kukusambulia kwa raha zako, kwanini asiwasasambulie wengine kwa raha zao? Una hati miliki?
Biashara ni matangazo! Unanchekesha, eti "mpenzi". Mpenzi pochi tu kwa anaeweza kukuvulia kabla ya ndoa. Usijidanganye.
akisasambua ataongeza kipato home baada ya kutuzwa...mia
kwani wewe hauvui?
nitake radhi.ujue nakuheshimu!.mia
Kwa hiyo unaremaje mkuu!
shem vipi tena! usiwe mkali bana mi naona ni sehemu ya kuongeza kipato,hata hivyo huoni kuwa hujamtendea haki husninyo? mia
mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza.
hakujua kama nipo maeneo yale coz alijua nipo home naumwa.kwa hasira nikarudi zangu home.
kesho yake nikamwambia kwamba kuna watu walimuona club.akakataa katakata hadi akalia kwamba hajatoka home.akasema hao ni wabaya wetu wanataka kutugombanisha.nimfanyeje?
X akija hapa msikubali atakayo yasema ni muongo.mia
shem vipi tena! usiwe mkali bana mi naona ni sehemu ya kuongeza kipato,hata hivyo huoni kuwa hujamtendea haki husninyo? mia
ukimuhoji zaidi atakuambia ni shetani alinipitiamwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza.
hakujua kama nipo maeneo yale coz alijua nipo home naumwa.kwa hasira nikarudi zangu home.
kesho yake nikamwambia kwamba kuna watu walimuona club.akakataa katakata hadi akalia kwamba hajatoka home.akasema hao ni wabaya wetu wanataka kutugombanisha.nimfanyeje?
X akija hapa msikubali atakayo yasema ni muongo.mia
first meeting na yeye ilikua wapi?kama ni bar,club ungetegemea nini?na wewe ulienda maisha club kufanya nini?yaonekana wote mna tabia zilizosawa
umfanyeje???
sijakuelewa mkuu...mia
na wewe nenda kasasambue.
Kwanza utapata hela, pili utakuwa umelipiza kisasi
mwambie tu ukweli, mwambie ulimuona mwenyewe na mwambie uliona nini na nini, mwambie unavo jiskia kuhusu hili alafu akikubali alikuwepo ndio muanza kufikiria mtafanyaje aache tabia hiyo inayo kukera wewe na anayo ionea aibu mwenyewe.
mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza.
hakujua kama nipo maeneo yale coz alijua nipo home naumwa.kwa hasira nikarudi zangu home.
kesho yake nikamwambia kwamba kuna watu walimuona club.akakataa katakata hadi akalia kwamba hajatoka home.akasema hao ni wabaya wetu wanataka kutugombanisha.nimfanyeje?
X akija hapa msikubali atakayo yasema ni muongo.mia
ndio ukome, si ulimtenda mwana jf ww