Nimemkuta mchumba wangu akifanya kazi bar

Nimemkuta mchumba wangu akifanya kazi bar

wakuchuja

Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
17
Reaction score
35
Habari wakuu,
Nilitangaza uchumba kanisan na binti mmoja

Iko hivi niliambiwa huyu binti ni nesi yupo (mikoa fulani), nikavutiwa nae nakam-approach na bahati nzuri akanielewa nikawa nimemtafuta mchungaji kumpa habari

Tumeishi kwenye uchumba ni zaidi ya miezi saba sasa, amekuwa akija mara moja moja nyumbani na kiukweli nilikuwa nimeweka malengo nae tayari

Yeye ni mpole, mcheshi na mkarimu sana lakini pia kajaaliwa uzuri wa asili, juzi nikiwa safarini nikapota kwenye lodge moja kupata usingizi ili usiki ukipita niendelee na safari

Ile lodge ina bar pia upande wa pili, nikaona isiwe tabu wacha niende nikapate soft drink kule bar, kutahamaki nikaona sura kama ya yule mchumba wangu

Nikawa najipa moyo maana binadam tunafanana labda tu wamefanana, ila cha kuchangaza tulipokutanisha macho akaduwaa, alikuwa akitembea na kapu la vinywaji likamponyoka

Nikajaribu kumpigia ikaita simu yake pale pale alikuwa nayo mkononi, ndo nikawa nimethibitisha kuwa ni yeye kweli, niliumia sana mpaka mda huu sipo vizuri maana nilikuwa nimeweka malengo nae

Nilikiwa najiiandaa kuwa na nesi kumbe mwenzangu ananichora, yaani kumbe hawa dada zetu wapo wanaotoka nybami na kwenda kufanya ufusika mbali kisha wakirudi nyimbani wanajifanya kama huko waliko wanakazi za maana

Sijaandika sehemu (kanisa nilipotangaza uchumba) na wapi nimemkuta akifanya kazi kwa kuhofia kumchafua mtu au taasisi ya dini fulani
 
Hahaaa mkuu movie gani umecheki na mimi nikaangalie nna mb za bure hapa..
 
Habari wakuu,
Nilitangaza uchumba kanisan na binti mmoja

Iko hivi niliambiwa huyu binti ni nesi yupo (mikoa fulani), nikavutiwa nae nakam-approach na bahati nzuri akanielewa nikawa nimemtafuta mchungaji kumpa habari

Tumeishi kwenye uchumba ni zaidi ya miezi saba sasa, amekuwa akija mara moja moja nyumbani na kiukweli nilikuwa nimeweka malengo nae tayari

Yeye ni mpole, mcheshi na mkarimu sana lakini pia kajaaliwa uzuri wa asili, juzi nikiwa safarini nikapota kwenye lodge moja kupata usingizi ili usiki ukipita niendelee na safari

Ile lodge ina bar pia upande wa pili, nikaona isiwe tabu wacha niende nikapate soft drink kule bar, kutahamaki nikaona sura kama ya yule mchumba wangu

Nikawa najipa moyo maana binadam tunafanana labda tu wamefanana, ila cha kuchangaza tulipokutanisha macho akaduwaa, alikuwa akitembea na kapu la vinywaji likamponyoka

Nikajaribu kumpigia ikaita simu yake pale pale alikuwa nayo mkononi, ndo nikawa nimethibitisha kuwa ni yeye kweli, niliumia sana mpaka mda huu sipo vizuri maana nilikuwa nimeweka malengo nae

Nilikiwa najiiandaa kuwa na nesi kumbe mwenzangu ananichora, yaani kumbe hawa dada zetu wapo wanaotoka nybami na kwenda kufanya ufusika mbali kisha wakirudi nyimbani wanajifanya kama huko waliko wanakazi za maana

Sijaandika sehemu (kanisa nilipotangaza uchumba) na wapi nimemkuta akifanya kazi kwa kuhofia kumchafua mtu au taasisi ya dini fulani

Acha ujinga dogo; kuuza bar sio umalaya. Kama ulisharidhika nae ina maana ndivyo alivyo. Na kule kuduwaa ni ushahidi tosha kuwa anakuthamini na haipendi hiyo kazi ila analazimika kuifanya. Unajua sababu iliyomfanya akubali kufanya hiyo kazi? Wenzio walishakuta wachumba zao wanajiuza na bado wakaoa (baada ya kujua sababu halisi) na wanaishi vizuri tu, wewe mchumba wako kufanya kazi bar unaona shida??!!!
Piga magoti na umuombe Mungu Jehovah akufunulie yaliyo sirini. Kuna wafanyakazi kazi bank mchana lakini wanajiuza usiku kwa hobby tu.
 
Acha ujinga dogo; kuuza bar sio umalaya. Kama ulisharidhika nae ina maana ndivyo alivyo. Na kule kuduwaa ni ushahidi tosha kuwa anakuthamini na haipendi hiyo kazi ila analazimika kuifanya. Unajua sababu iliyomfanya akubali kufanya hiyo kazi? Wenzio walishakuta wachumba zao wanajiuza na bado wakaoa (baada ya kujua sababu halisi) na wanaishi vizuri tu, wewe mchumba wako kufanya kazi bar unaona shida??!!!
Piga magoti na umuombe Mungu Jehovah akufunulie yaliyo sirini. Kuna wafanyakazi kazi bank mchana lakini wanajiuza usiku kwa hobby tu.
Mimi na wewe nani dogo?? me nimekuzidi miaka minne hapa JF,, nimejiunga 2014 wewe umejunga 2018 au kwakuwa sipost

Suala la kuoa mfanya kazi wa bar hilo gumu sana mkuu, ninavyowaona wakijiuza vile siwezi hata kusubutu
 
Back
Top Bottom