Nimemla dada poa kumbe mfukoni sina hata mia, nimeondoka na pensi

Ukisikia mauzoefu ndio haya sasa.. Mtu kama huyu utaachaje kumtunukia degree kwenye hii nyanja kwa mfano.. Labda uwe na roho mbaya tuu [emoji23]
 
...Kama!....
 
Hapo Tip Top niliwahi kesha mpaka saa nane, ila sikuwaona mkuu Mzee wa kupambania , Kwani wanakuwa kona ipi?
Mkuu hiyo tiptop uloenda ni tiptop ipi na ulienda mwaka gani eti mpaka mida hiyo ukose kipoozeo nahisi haujawahi kwenda ila unafanya udadisi humu ili uanze kwenda, mana siku hizi mpaka mitaa ya darajani kuna mboga tena waanza mapema tu.
 
Mkuu hiyo tiptop uloenda ni tiptop ipi na ulienda mwaka gani eti mpaka mida hiyo ukose kipoozeo nahisi haujawahi kwenda ila unafanya udadisi humu ili uanze kwenda, mana siku hizi mpaka mitaa ya darajani kuna mboga tena waanza mapema tu.
Mkuu, kila ijumaa kuanzia saa mbili huwa nakuwa pale, sijawahi ona, labda kama watakuwa kwenye Pub yao special ambayo hata siifahamu. Pale darajani huwa nakutana na kapo zimesimama zinapunga upepo zikizungukwa na masai pamoja na wauza karanga[emoji23]
 
Nenda tip top bar na Lambo bar humo kuna kila aina ya malaya
 
Tutalitizama mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…