Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukupewa kamba?nitumie njia gani iweze kukaa vizuri bila kuvuka?
Wengine wanafunga uzi na kuujaza eneo la kushikia mashikioni inabana haivuki ila kamba muhimu, mimi niliwahi tumia miwani miezi 6 tu nikiwa mtotoKuna kamba za miwani, ama kammbadilishie hiyo frem
Jf tunaonewa saana!Habari zenu,
Naomba kuuliza kama kuna kuna anayejua shida hii ya miwani
Nimemnunulia mtoto MIWANI lakini kavaa wiki tu leo hii Anavaa umekuwa kubwa yaani inamvuka has wa akiinama., nitumie njia gani iweze kukaa vizuri bila kuvuka?
View attachment 3196269
Naona Biblia kwa mbaliiiii ... Mungu amponye mwanao apate kuona vema pasi na miwaniHabari zenu,
Naomba kuuliza kama kuna kuna anayejua shida hii ya miwani
Nimemnunulia mtoto MIWANI lakini kavaa wiki tu leo hii Anavaa umekuwa kubwa yaani inamvuka has wa akiinama., nitumie njia gani iweze kukaa vizuri bila kuvuka?
View attachment 3196269
JF ni familia, Na katika familia hakishindikani kitu.Jf tunaonewa saana!
Frem ulinunua kias gani?Habari zenu,
Naomba kuuliza kama kuna kuna anayejua shida hii ya miwani
Nimemnunulia mtoto MIWANI lakini kavaa wiki tu leo hii Anavaa umekuwa kubwa yaani inamvuka has wa akiinama., nitumie njia gani iweze kukaa vizuri bila kuvuka?
View attachment 3196269
Pole sana.Habari zenu,
Naomba kuuliza kama kuna kuna anayejua shida hii ya miwani
Nimemnunulia mtoto MIWANI lakini kavaa wiki tu leo hii Anavaa umekuwa kubwa yaani inamvuka has wa akiinama., nitumie njia gani iweze kukaa vizuri bila kuvuka?
View attachment 3196269