Nimempa talaka mke wangu kisa kushabikia simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Habari Wakuu,

Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza kukasirika sana but nimevumilia sana.

Jana baada ya makolo kufurushwa nimemkuta amenuna na kupika hataki [emoji23][emoji23], nikaona huu ni ujinga. Yaani ukolo wako unitese mimi? Nimetimua kwao, now simu zinaita ukweni then nitazi-block kabisa

NB: Vipi wakuu kwa mujibu wa rage kuhusu makolo, nimekosea?

 
Kama kweli, walio karibu wakufunge kamba wakuwahishe hospitali
 
daaaah ww fala kidogo nikutukane ,,,,nimesoma huu uzi hadi nikacheka aisee
watu pembeni wakaona tabasamu langu wakati nina historia ya kutotabasamu kabisa niwapo kibaruani
 
Mophology ya kichwa chako tu kinabainisha kuna kitu kwako kimecheza aka dishi limecheza kiduchu ujue! Kama vp wahi milembe mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…