Ubadili namba ya simu wakati umeikariri kichwani?
Aendelee tu hadi akamatwe na mkewe.
Mimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
Mimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
Mie mwanaume hasa akisema mambo kama hayo ananichefua roho yangu!! kama uwezo unaruhusu na dini inaruhusu sasa unaiba nini au ushazowea vyakunyoga wewe vyakuchinja huviwezi? inaonyesha bwana weye uzinzi unauendekeza lakini kumbuka kua ulie muoa nae pia ni mtoto wawatu A .K. A. Mkeo jee akifanyiwa mwanao wakike hayo unayo yafanya wewe utapendelea?
hakuna cha msaada hapo kimsingi kula mema ya nchi...tatizo ndoa zina stress sana siku hizi so ukipata pa kuweka moyo weka na kule home wekeza akili
Mimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
Au hamjui kuwa, mwili hupigana na kushindana na roho, navyo viwili haviwezi vikapatana.
Kila dhambi aifanyayo mtu ni nje ya mwili wake, bali dhambi ya uzinzi ni ndani ya mwili wake.
Ikimbieni zinaa.
Tamaa ikishakomaa huzaa dhambi, na dhambi ikishakomaa huzaa mauti.
Kwa sasa tamaa yako juu ya huyo msichana imeshazaa dhambi ya uzinzi, imebaki tu hiyo mimba uliyonayo(uzinzi) ukomae ili uzae mauti ya milele.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
hakuna cha msaada hapo kimsingi kula mema ya nchi...tatizo ndoa zina stress sana siku hizi so ukipata pa kuweka moyo weka na kule home wekeza akili
[MENTION]Mimi nimeoa miaka 3 iliyopita, lakini imetokea sina hamu na Mke wangu, badala yake ninampennda sana sana na ninatoka na Msichana mwingine. Sijui nifanyeje! Natamani kweli kupata ushauri wa jinsi ya kumwacha huyu dada.... Kila nikijaribu kumwacha nashindwa, akinitext tu nakuomba tutoke naingia line. .. Hata leo anataka nikampe dozi... JJamani nisaidieni!:eyebrows::eyebrows:
Wazinzi bwana utawajua tu!
Nitamwacha huyu Mdada jamani!
Hehehe! Werawera!tukusaidie nini?
Subiri mkeo apate kiserengeti boy ndo utaweza kurudisha mapenzi kwake