Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 248
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa.
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.