Nimempenda mtoto yatima aliyelelewa kituoni.

Nimempenda mtoto yatima aliyelelewa kituoni.

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,282
Reaction score
248
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa.
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.
 
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa.<br />
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.<br />
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.
<br />
<br />
Peleka kituoni alipolelewa
 
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa.
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.

Muulize Judith! Atakayemridhia ndiye. Si mjuvi ila wengine watakupatia mengi zaidi.
 
Sumbalawinyo hongera kwa kupata huo binti na nia yako njema ulonae juu yake. Katika malezi kuna wazazi ambao ukijaliwa waweza kukulea na pia kuna walezi ambae anaweza kua ndugu au sio ndugu. Naamini Judithi hata kama ni yatima lazima kuna mahala kalelewa, labda uniambie kua kakua toka mtoto mdogo kama chokoraa - ambapo the chances of her kukua mpaka akaonekana ni binti anae faa kuolewa ni minimal.

Judith naamini atakua na watu/mtu ambae yuko karibu na anmtegemea kimawazo au ushauri au all together looks up to. Umejaribu kumuuliza Judith mtu wake/familia yake ya karibu ni ipi? Hao unaweza kwenda kujitambulisha kwao, na mahali kwa situation kama hio sio neccessary saana, kiubwa wale watomsimamia Judith katika process zote waweza pewa kiasi reasonable kama mahali, kuonesha heshima na kuwajulisha kitu na maamuzi yote juu ya Judith wao ndo utawasikiliza. Nakutakia kila la kheri.

Leo ni siku ya akina mama... Kama utaweza naomba mwambie mwana mama yeyote ambae unaona ni deserving kua she is a good Mom...
 
Judith alipata bahati mbaya ya kufiwa na wazazi wake akiwa mdogo sana. Ndugu walimtelekeza na hawajui ndugu zake kabisa.
Maisha yake amekulia kwenye kituo cha lulelea watoto.
Leo anajitegemea na anajimudu, swali langu kwenu je mahari nipelele wapi kwani sio heshima binti kuolewa bila ya kutolewa mahari.
Kwanza nikupongeze kwa hatua uliyofikia ya kukubali kuanza maisha na mwnamke ambae ni yatima, ambae hata wazazi na ndugu zake hawawajui, wengi wlishindwa hivo kwa kuhofia watoto watakuwa hawawajui upande wa mke na kuishia kuoana na ndugu zao, kwa swala la mahari please peleka palepale kwa wamama wa kituo cha kulelea yatima alicholelewa na pia mkimaliza taratibu kwenye ndoa wale wamama ndio waje kuhudhuria kama wazazi

Baada ya hapo ningependa kukushauri kutumia taarifa za pale kituoni mnaweza kuwatrace ndugu siku hizi kuna mitandao mingi tu unaweza ukawajua wazazi wake nina hakika wanajua walimpata wapi huyo mtoto mnaweza anzia palepale hata ikichukua miaka kumi utakuwa umempa mkeo zawadi nzuri sana.
 
waooooo!!! leo siku yangu imekuwa nzuri sana kwa habari hii!!

tafadhali usininyime kadi ya mwaliko, mahari huwa mwanamke mwenyewe ndio anasema, hivyo bibie atakueleza pa kuipeleka!!
 
waooooo!!! leo siku yangu imekuwa nzuri sana kwa habari hii!!

tafadhali usininyime kadi ya mwaliko, mahari huwa mwanamke mwenyewe ndio anasema, hivyo bibie atakueleza pa kuipeleka!!
Kwa kweli leo siku yetu tungekuwa tunaweza tungekutana mahala ku celebrate lakini humu haiwezekani
 
waooooo!!! leo siku yangu imekuwa nzuri sana kwa habari hii!!

tafadhali usininyime kadi ya mwaliko, mahari huwa mwanamke mwenyewe ndio anasema, hivyo bibie atakueleza pa kuipeleka!!

naikumbuka ile story ya maisha yako
 
Naunga mkono ushauri wa Gaga na Asha D fanya kama walivyokueleza na hongera sana
 
kuna mijitu inapenda vya bure, kisa cha kumfuata mtoto yatima ni kutaka kukwepa kulipa mahari
Bujiiiiiiiiiii!!! kwani hawa hawana ya kuolewa na watu wenye proper family? hakuna bwana zali limemuangukia acha aolewe na mahari itapelekwa hukohuko
 
mahari mpe judith maana ye ndo anaenda kuolewa na kuitumikia ndoa. Akipenda kuwagawia kidogo wale waliomlea ni vizuri au akiamua aitafune yote mwenyewe ni vizuri pia. Binafsi huwa nawashangaa wazazi wanaokomalia wapewe mahari kama vile wao ndo wanaenda kuolewa. Mzazi kazi yake ni kutoa ruksa binti akaolewe basi.
 
Bujiiiiiiiiiii!!! kwani hawa hawana ya kuolewa na watu wenye proper family? hakuna bwana zali limemuangukia acha aolewe na mahari itapelekwa hukohuko

mahari apeleke kwa waliomsaidia binti kwa hali na mali hadi Sumbalawinyo akamuona na kumpenda, mi namshangaa Sumbalawinyo anauzunguka mbuyu.
 
Hongera kwakumpata mwenzako....muulize ni watu gani anaowashukuru na kuwapenda sana kwakumjenga na kumfikisha alipo hao ndo uwape hako kaASANTE!!!
 
mahari mpe judith maana ye ndo anaenda kuolewa na kuitumikia ndoa. Akipenda kuwagawia kidogo wale waliomlea ni vizuri au akiamua aitafune yote mwenyewe ni vizuri pia. Binafsi huwa nawashangaa wazazi wanaokomalia wapewe mahari kama vile wao ndo wanaenda kuolewa. Mzazi kazi yake ni kutoa ruksa binti akaolewe basi.
Naunga mkono maneno yako....! Mahari ni haki ya muolewaji.
 
Back
Top Bottom