Nimempenda mwanafunzi wangu......nifanyeje


naelewa maneno unayoyasema, na hayo ndiyo miongoni mwa mambo ambayo yalikuwa yakinitatiza.....na ndo maana nikalileta hapa, lakini naomba ujue kwamba si tamaa inayonisukuma...
 
Tindikali, ni kweli waweza usiwe na tamaa. Ila sisi tulio nje ya mchezo tunaona ni tamaa maana kama ni suala la kutaka mke wapo wanawake wengi ambao si wanafunzi. Heri huyo anayekutesa angekuwa mwalimu mwenzako kila mtu angekupa heko. Achana naye usije kujichafulia jina na kupoteza heshima yako bure. Angalia upande wa pili. Suppose amekutolea nje utakuwa mgeni wa nani kama siyo kuvuruga taaluma na ajira yako? This situation is very tricky so to speak. Uwe makini na ufanye uamuzi na uchaguzi kwa kuangalia nafasi yako kitaaluma na kiwadhifa badala ya matamanio au matarajio. Mbona wazuri wako wengi tena wasio na soo kama mwanafunzi wako mwanangu? Nadhani nitakuwa nimekusaidia zaidi.
 
Father of All, mie naona unataka kuwanyima walimu haki yao ya msingi ya kupenda wanapopenda.

Moyo huwa hauangalii wala haushurutishi upende wapi, inatokea tu.
Mtoa mada kasema 'anampenda', ni wapi kasema anataka kumpotezea muda?
Huyo mwanafunzi ni mtu mzima ana haki ya kukataa kama hajapenda.

Rafiki yangu wa karibu kaolewa na mwalimu wake kwa hiari na wanaishi happily na watoto wawili na wanamaisha poa kabisa.

Afu, mazingira ya kitanzania yanamabana mwalimu sana, ingekuwa sehemu zingine mwalimu angeweza kwenda kwa mkuu wake na ku-declear anampenda mwanafunzi wake na akabadilishiwa darasa.
Lakini hapa ni taboo mwalimu kuongea kampenda mwanafunzi.
 
Last edited by a moderator:
Naona mkulima unameza mbegu.
 
mbona sioni aliposema anataka kumpotezea muda? Mie naona kasema 'anampenda' au hili neno limebadilika maana?

Ni nani asiyependa binti yake aolewe? Mbona ni baraka binti akiolewa ndo maana tunaandaa misherehe?

Hata kuoa ni ufisadi? Akimlazimisha kukubali labda kwa kumfelisha hapo ndipo ufisadi utakuwepo lakini kama ni akitumia maneno ya mwanamme kumshawishi binti bila shurti na binti akaridhia hapo sawa..

Hebu niambie, ni wangapi wameoa au kuolewa na wenzi wao wa kwanza? Si kila penzi huishia kwenye ndoa hata kwa watu walio single kabisa bila kizuizi, anaweza akakuta hawaendani kitabia, sasa ajilazimisha kumwoa kisa asionekane kampotezea muda?

 
Hayo ndo marupurupu ya ualimu. Teh
Call your enemy what you are, and always tell the exact opposite of the truth.
 
usituone tumezeeka, tumekwepa mishale mingi.

Darasa lina watu 300, unashtukia umechomolewa huko nyuma na kuwa monitress wa somo hilo moja tu

Kongosho nimependa ushauri wako kwa huyu jamaa kumwambia amteue kua Monitress
 
Last edited by a moderator:

nashukuru umeelewa nini namaanisha,

kupenda kumekuwa jinai...inashangaza sana.
 
aaah sasa kama hana alternatives zingine je?

Mpendwa wangu,
Tambua tu kuwa cheo au pesa, vinaweza kukusaida kununua mahusiano na sio pendo kama alitakalo mhusika!!

Pole sana, kuforce mapenzi ndugu.......utashuhudia vituko hadi mwenyewe utakubali!
 
Mpendwa wangu,
Tambua tu kuwa cheo au pesa, vinaweza kukusaida kununua mahusiano na sio pendo kama alitakalo mhusika!!

Pole sana, kuforce mapenzi ndugu.......utashuhudia vituko hadi mwenyewe utakubali!
mi huwa siforce mapenzi,ile ni hisia kati ya watu wawili na inakuja automatic
 
Mfanye monitress wa somo lako, so notice zote na communication ndogondogo za darasa zipitie kwake.
Hii mbinu huwa inalipa kweli

hahahahahahaha' kwel ww jembee' hapo umenena mkuu..hapo haruk hata kdogo
 
Mfelishe tu atajiingiza mwenyewe....very simple ......mtakuwa na historia ya kusisimua kwenye maisha yenu...
 
Mimi ni mwanfunzi chuo nilitokewa na lecture wangu, mbona ngoma droo! Anafurahia mjegejo ile mbaya! Kandamiza mwanawane kama umri unaruhusu! Mwanafunzi wa chuo mbona kina someka vizuri hiyo?
 
Ulivosign mkataba wa kua mwalimu ulikubali kama mwalimu huruhisiwi kua na rshp na wanafunzi wako kwa hiyo kwa kufanya hivo una breach terms za contract yako so i wudnt advise u to do that... Itakukost tu
Mimi niko kwenye chuo na hakuna kitu kama hicho kwenye mkataba. Kama ana miaka 18 na kuendele nafikiri haina shida. Labda Hiyo kitu iko sekondari na shule za msingi kwa sababu wengi wa wanafunzi wana umri chini ya 18
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…