Nimempokea Yesu Kristo na kubatizwa ila nimeagizwa nibaki na mke mmoja kati ya wanne nilionao. Nitumie vigezo kutekeleza agizo hilo?

Nimempokea Yesu Kristo na kubatizwa ila nimeagizwa nibaki na mke mmoja kati ya wanne nilionao. Nitumie vigezo kutekeleza agizo hilo?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

This is a very serious issue wapendwa

Karibuni tu nimebatizwa baada ya kuamua kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wangu

Hata hivyo nimeelekezwa wakovu wangu unaenda pamoja na mambo mengineyo kuishi na mke mmoja tu.

Ndugu ninao wake wanne na wote nimefungua nao ndoa za kiserikali isipokuwa mke mdogo kabisa yeye tulifunga ndoa ya kimila

Naombeni mwongozo ndugu zangu napata changamoto kutekeleza agizo hilo na sijui Nini itakuwa hatima ya hao nitakaowaacha

Aksanteni sana niwatakie sabato njema
 
Wadau hamjamboni nyote?

This is a very serious issue wapendwa

Karibuni tu nimebatizwa baada ya kuamua kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wangu

Hata hivyo nimeelekezwa wakovu wangu unaenda pamoja na mambo mengineyo kuishi na mke mmoja tu.

Ndugu ninao wake wanne na wote nimefungua nao ndoa za kiserikali isipokuwa mke mdogo kabisa yeye tulifunga ndoa ya kimila

Naombeni mwongozo ndugu zangu napata changamoto kutekeleza agizo hilo na sijui Nini itakuwa hatima ya hao nitakaowaacha

Aksanteni sana niwatakie sabato njema
umekosea sana kuondoka kwenye mila yako iliyokukuza na kukufanya uoe wake 4 sasa,nenda kwa huyo kiongozi wa dini aliyekubatiza na mwambie hii shida yako ili akupe ufumbuzi
 
Wadau hamjamboni nyote?

This is a very serious issue wapendwa

Karibuni tu nimebatizwa baada ya kuamua kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wangu

Hata hivyo nimeelekezwa wakovu wangu unaenda pamoja na mambo mengineyo kuishi na mke mmoja tu.

Ndugu ninao wake wanne na wote nimefungua nao ndoa za kiserikali isipokuwa mke mdogo kabisa yeye tulifunga ndoa ya kimila

Naombeni mwongozo ndugu zangu napata changamoto kutekeleza agizo hilo na sijui Nini itakuwa hatima ya hao nitakaowaacha

Aksanteni sana niwatakie sabato njema
Mimi nina wasi wasi kwa akili zako hizi huwezi kumudu wake wa nne, acha kutupiga kamba mkuu, lengo lako sijui ni lipi? Unajua mwenyewe.
 
Waulize kama Kuna anayetaka kuwa huru na wewe,yaani anayetaka kuondoka na kwendelea na maisha yao,ila hapo unatakiwa kukaa nao mradi kama watataka na wewe,Yule atakayesema hataki kuishi na a wewe kwa kuwa umeokoka yupo huru kuondoka.Lakini mke wa kwanza huyo ndiye mwenyehaki zaidi ya wote.
 
Waulize Hao Waliokuloanisha Na Maji Kichwani Kwanini Uachane Na Hao Wengine?
 
Kwanza kabisa umebatizwaje? Wake zako nao wamebatizwa( wamekubaliana na uamuzi wako) au ndio ulitumia ubabe? Wakati unaokoka ulitarajia nini juu ya wake na familia yako kwa ujumla?
NB: Kuwa makini kwenye maamuzi yako, wachungaji wa siku hizi wapo kimaslai zaidi.
 
Ni vizuri kama umebatizwa na kumpokea Yesu, msikilize yeye atakupa muongozo
 
Wadau hamjamboni nyote?

This is a very serious issue wapendwa

Karibuni tu nimebatizwa baada ya kuamua kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wangu

Hata hivyo nimeelekezwa wakovu wangu unaenda pamoja na mambo mengineyo kuishi na mke mmoja tu.

Ndugu ninao wake wanne na wote nimefungua nao ndoa za kiserikali isipokuwa mke mdogo kabisa yeye tulifunga ndoa ya kimila

Naombeni mwongozo ndugu zangu napata changamoto kutekeleza agizo hilo na sijui Nini itakuwa hatima ya hao nitakaowaacha

Aksanteni sana niwatakie sabato njema

Ikiwa umeokoka kweli, Roho wa Mungu Atakuonesha la kufanya. Kuokoka ni kuzaliwa upya. Ni kuanza kuongozwa na Roho Mtakatifu. Roho wa Kristo atakuongoza, kukufunulia na kukufanikisha katika yote. YOTE!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Waombe andiko tu wakilipata nakupa Tsh 10000 chap
Kwa ushauri bora zaidi nicheck 0755346718
Ukristo hauzuii kuendelea kuwa na wake zako maana ni wake zako na anayelala nao ataingia katika dhambi ya kuzini.
 
Mimi nina wasi wasi kwa akili zako hizi huwezi kumudu wake wa nne, acha kutupiga kamba mkuu, lengo lako sijui ni lipi? Unajua mwenyewe.
Huyo jamaa either ni computer bot ama zwazwa fulani hivi, huwezi kuelewa hata siku moja.
 
Umeacha ukweli wa mila za kiafrika umejiunga na mila za Asia,hilo lako pambana nalo.
 
Back
Top Bottom